TANDEN inasikitika kutangaza kifo cha mtanzania mwenzetu Athensia Lionidas Rugemalira aliyefariki kwa ajali ya gari tarehe 11/1 2011 uko Jylland.

Marehemu anatokea Bukoba na ameacha mume na watoto watatu, mkubwa miaka 11 na mapacha wa miaka 5. Marehemu anatalajiwa kuzikwa Ijumaa tarehe 21/1 2011 saa saba mchana katika kijiji cha Sunds kilichopo karibu na Herning Midtjylland, baada ya mama mzazi kufika toka Tanzania. Kwa habari zaidi wasiliana na Dada Blandina wa nykøbing mors kwa taleforn nr. 20898695.
Picha ya ajali hiyo na Habari
BOFYA HAPA


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. jamani poleni sana wafiwa ni masikitika kaaacha watoto wadogo, Mungu awalinda, pia poleni sana watanzania wote wa dk.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...