Askari wa kikosi cha kupambana na Ujambazi wa kutumia silaha Mkoani Morogoro wakifukua kifusi cha mchanga kuona madini ya shaba yaliyofukiwa yenye kukadiriwa kuwa na thamani ya shilingi milioni 300.6
Home
Unlabelled
WEZI WA MADINI YA SHABA WADAKWA MORO NI YA TANI 31 ZA MADINI YA SHABA, THAMANI MILIONI 300.6
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hawa jamaaa walishaaga umaskini du
ReplyDeleteMnaonea dagaa sio ehh, mipapa mnaiogopa!
ReplyDeleteYaani nawaonea huruma sana kwakweli. Sasa viongi wetu na wazungu watakuja kuchukua na kunafsia wenyewe walahi, ahlafu walalahoi tunakosa. Yaani nimeumia sana nyie kushikwa kwakweli. Wazungu na viongozi wetu watakula tu bila ubishi wakati wao ndio majambazi kufa mtu. Poleni sana ningekuwa na hela ningekuja kuwawekea bond, Nimeumia sana.
ReplyDeleteHiyo ni mali yenu as longer hamjaua poa kwangu tumeibiwa sana mali yetu na wanakufa masikini bure wakati mali tunazo tunauza kwa wenzetu huku tunakuja kuwa watumwa.
Mdau USA.
YANI NYIE PILISI NDIO MNAJUA HII LEO, WAKATI KUNA MELI INASAFIRISHA "SHABA" TANI ZA KUTOSHA KWENDA CHINA KILA WEEK.
ReplyDelete