Wakili wa aliyekuwa mgombea ubunge kiti cha Iringa Mjini Ferederick Mwakalebela, Mh. Basil Mkwata (kulia) akitoka mahakamani hapo na mwanasheria wa Takukuru Iringa Mh. Ntime Mizizi. Nyuma yao ni Bw. Mwakalebela mwenyewe. Hii ni leo asubuhi baada ya kuahirishwa kwa usikilizaji wa maamuzi madogo ya kesi ya rushwa katika uchaguzi inayomkabili Mwakalebela leo. Mahakama imeshindwa kusikiliza maamuzi hayo leo baada ya Jaji Laurent Uzia ambaye alikuwa akifanya kazi katika Mahakama hiyo ambaye kufariki dunia. Picha na mdau Francis Godwin.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...