Home
Unlabelled
news alert: mpoki atimuliwa kili music awards academy leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Anko tuambie basi kisa nini tupo nje ya nchi matukio km haya yanauma kweli yakikupita
ReplyDeleteJamani mzee Mpoki ilikuwaje mpaka akatimuliwa kwenye music award? Ameiba wimbo wa watu au?
ReplyDeleteMtoa habari hebu elezea vizuri basi. Sio wote tupo bongo hatujui kinachoendelea na hiyo sheria inasemaje na hao wasanii wengine 100 waliondoka pia au la? Na kwania hakujua hilo kabla ya kuhudhuria hiyo party au kwanini alialikwa wakati waandaaji wa party walijua hayo? Habari nusu nusu si njema wajameni
ReplyDeleteHivi mpoki ana ungugu na model fiderine iranga?
ReplyDeleteNahitaji fulana yenye chata kama hilo la fulana ya mpoki
ReplyDeleteUtakuta alikuwa ametowa opinions zinazopingana na wengine.Si unajuwa mambo ya kwetu hakuna uhuru.
ReplyDeletenilivyoelewa ni kwamba huyo bwana alikuwa mwamuzi lakini ana wimbo wake ambao unashiriki mashindano 'so conflict of interest' kwa lahaja ya mama
ReplyDelete