Home
Unlabelled
vita ya mihadarati bado ni kubwa sana nchini
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Sasa migodi ambayo hao jamaa wangefanya kazi mnawapa wazungu mtawalaumu kula hiyo midude?
ReplyDeleteHizi ni biashara za wakubwa,itachukua muda mrefu kumaliza tatizo hili Tanzania,Tujue kuwa tusipoangalia tutakuwa na generation mbaya miaka michache ijayo,maana kwa sasa ni kama tunapanda mbegu na mavuno yatakuwa mabaya kama inavyoonekene hivi sasa.
ReplyDeleteMungu ibariki Tanzania.
mdau Oslo,Norway.
jamani hivi polisi hawapajui hapo. huyo dada ni nini kujitia
ReplyDeletekuvaa ushungi na huku anatumia drugs.
Pombe ya gongo inatakiwa iwe halali,manake ni bei rahisi kabisa,ni bola wawe walevi kuliko namna hiyo...
ReplyDeleteEti selikali ifanye nini,nyumba za bei mbaya na magali ya kifahari unataka ayaendeshe nani jamani,wakati wengine awana vyeo maserikalini na hii ndio njia ya kujipatia mifedha ya nguvu...
hao wote tutawazika na over dozi akuna rehab bongo.