Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Ubora wa Viwango nchini (TBS),Bw. Charles Ekelege akimkabidhi cheti cha ubora wa viwango Mkurugenzi wa Kampuni ya Fekoni Motorcycle,Bw. Andowy Guo wakati wa hafla fupi iliyofanyika mchana wa leo katika makao makuu ya shirika hilo,Ubungo jijini Dar.
Warembo wakiwa wamekaa juu pikipiki zinazotengenezwa na kampuni ya Fekoni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Bado haijaniingia akilini , hao Fekon wana kiwanda hapo cha kuunganisha pikipiki au ni kama duka tuu la kuuza pikipiki. Kama ni wauzaji tuu sioni mantiki ya TBS kutoa cheti cha ubora kwa kitu kilichoingizwa tuu toka nje bali kingekaguliwa kama vingine.

    mimi

    ReplyDelete
  2. Tatizo sio cheti cha TBS. Piki piki zinaua Tanzania kwasababu hamna sheria zinazofuatwa barabarani. Piki piki ziwe vijijini maybe. Pikipiki kama chombo cha usafirishaji (Kwa malipo) sio sahihi. Vijana wengi hawazingatii sheria na hawajui kuendesha hizo pikipiki.
    Licha ya hilo, hawana upeo au good decision making capabilities wakati wa ajali.

    ReplyDelete
  3. Toa hiyo cheti cha TBS kwa waziri wa transporti - mtashindwa...kila siku wananchi wanauwawa on our roads in Tanzania na mpaka leo hatuma kipimo chochote cha kupima mauwaji kweye mabarabara zetu za Tanzania - kwanini hatuna anayetaka kuchukua reposnsibiltiy? even TBS ni Chau Chau tupu - Mheshimiwa Kikwete - please do something to stop the road carnage in Tanzania.....Please -

    ReplyDelete
  4. jina lenyewe linajieleza FEKI he he he he he he kazi ipo mwaka huuu.

    ReplyDelete
  5. Umesema kweli hapo juu no moja aliyewaza kutoa hichi cheti huko ajiuzulu. Najua huyo kiongozi kazi yake ni kukabidhi tu lakini waandaaji wa haya majambo watueleze lini importations zilizotengenezwa sijui wapi huko tunazipa ushindi.

    Au ina maana waagizaji toka China hawatapewa hiyo zawadi kabisa....AIBU

    ReplyDelete
  6. Nyie walalamikaji nanyi hamuoni kuwa huo ubora umepimwa kwa kuwepo hao warembo juu ya hizo pikipiki!lol!

    ReplyDelete
  7. Nahitaji pikipiki aina ya fekoni 125 kwa bei ya jumla ? Pikipiki 10

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...