WATOTO wa skuli ya Kidutani wakicheza beni (mbwa kachoka) katika sherehe za uzinduzi wa Tamasha la Mzanzibar la 17 lililofanyika katika ufukwe wa pwani ya Nungwi hivi karibuni.
Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA
Kwa mapicha zaidi BOFYA HAPA
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Jaman watoto wamependezaa hadi raha wanawakilisha vilivyo alaf na huyo mwingine naona anapinda na mgongo kabisaa hee Kizazi cha karne hii kipo juu.
ReplyDeleteAnaiga twanga pepeta huyo masaa 24 wapo tv ini. Mzee alinde maana wasije wakamnanihii!!!
ReplyDeleteNi nzuri sana imependeza kila la mafanikio
ReplyDeletesabri