Mchezaji maarufu wa mpira wa Kikapu duniani Dwight Howard akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete zawadi ya jezi wakati nyota huyo alipomtembelea Rais ikulu jijini Dar es Salaam leo. Dwight Howard ni mchezaji nyota wa timu ya kikapu ya Orlando Magic ya nchini Marekani.
Nyota mchezo wa kikapu nchini Marekani Dwight Howard akimwangalia Simba aliyekaushwa kitaalamu na kupamba lango la Ikulu jijini Dar es Salaam huku akifurahia jambo na Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete wakati nyota huyo alipokwenda Ikulu kumsalimia Rais na kutoa ahadi ya kutoa msaada ili kukuza vipaji vya mchezo huo nchini.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete(kulia),Balozi wa Marekani nchini Tanzania Alfonso Lenhardt (kushoto) wakiwa katika picha ya pamoja na nyota wa mchezo wa kikapu nchini Marekani Dwight Howard(Katikati)wakati nyota huyo alipomtembelea Rais ikulu jijini Dar es Salaam leo. Nyota huyo anachezea klabu ya Orlando Magic.
Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu.
jamaa mara kajisahau kampiga konzi JK
ReplyDeleteAhahaaa! wewe Ananymous wa Tuesd 8/23 usiniache hoi, ahahahha naona kama Mr Presidaaa kama anaogopa vile kwenye picha imebidi ajichekeshe.
ReplyDeletekitu lv
ReplyDeleteWhere is Hasheem Thabit?
ReplyDeleteAhahahahahha! @Anonymous Aug 23 1240. Thubutu!...Enhe haya Thabeet yuko wapi?!...
ReplyDeleteOn the last picture, the focal point is Dwight Howard instead of President Jakaya Kikwete.
ReplyDeleteJamaa anapanga namna ya kumwona msaada lol!
ReplyDeleteraisi wetu anapenda sana kucheka mie huwa najiuliza anakasirika saa zingine au ni mcheshi tu? yaani hata ukiangalia historia nzima ya maraisi wetu utaona yeye ni mcheshi sana inaonyesha hata ni rahisi kwenda kumweleza tatizo lako raisi mstaafu ambae ninamwogopa ni benjamim mkapa afadhali hata marekemu nyerere, tulikuwa tukisali nae st.peters alikuwa anasalimia saa zingine.
ReplyDeletena mie siku moja nitakuwa mbunge
Hiyo picha ya Mwisho sipati picha angekuwa amesimama kulia Mkapa kushoto Mwinyi.
ReplyDeleteMnugu ni mnugu tuuu....nchi ya watu anampa rais 'deuces'.
ReplyDeleteDuh! hii noma...ghafla bin vuu JK kafanania KIPARE zaidi.....kwikwikw
ReplyDeleteThis guy is huge... Duhhh
ReplyDeletejamani hasheem thabeeeet yupo wapiiii?...usikute hadi kikwete kamsahau...am not a hater am just saying
ReplyDelete