Mashabiki wa Simba wakishangilia ushindi wao dhidi ya Yanga
Fashifashi zarindima kwa furaha
Makamu Mwenyekiti wa Simba Godfrey Nyange Kaburu (kuume) akiwa na kocha wa Wekundu wa Masimbasi Moses Basena kutoka Uganda baada ya ushindi
Mchezaji Patrick Mafisango wa Simba akipokea sh. 500,000 kutoka kwa Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Iman Kajula baada ya kuwa Mchezaji wa Mechi leo
Makamu wa Rais wa TFF Athumani Nyamlani akimkabidhi nahodha wa Simba Juma Kaseja Ngao ya Jamii
Kaseja akifurahia Ngao yao ya Jamii
Furaha ya Ngao ya Jamii
Ngao ikifunguliwa
Hii ndio Ngao ya Jamii yenyewe...
Kaseja akipokea Ngao ya Jamii
|
Mshambuliaji Emmanuel Okwi wa simba akijaribu kumpiga bao kipa wa Yanga Shabani Kado Uwanja wa Taifa jijini Dar es salaaam usiku huu ambapo Simba wameibuka kidedeka kwa mabao 2-0 yaliyofungwa na Haruna Moshi 'Boban' na Felix Sunzu katika kipindi cha kwanza cha mchezo huo wa Ngao ya Jamii kufungua pazia Ligi Kuu ya Vodacom inayoanza kurindima Jumamosi hii katika viwanja mbalimbali |
Kikosi cha Simba SC leo
Kikosi cha Yanga leo
kocha wa Yanga na benchi lake la ufundi
Kocha wa Simba na benchi lake la ufundi
Wachezaji wa Simba wakiwang'gong'a mashabiki wa Yanga baada ya Haruna Moshi 'Boban' kufunga bao la kwanza
Furaha ya wachezaji wa Simba
Mashabiki wa Simba wakishangilia kwa nguvu zote
Simba! Simba! Simba! Simba!
Oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!
Mshambuliaji hatari wa Simba Felix Sunzu akiwa kamwacha Manzese beki wa Yanga
Haruna Moshi ajeruhiwa
Wachezaji wa Yanga wakilalamikia refa kwa kutoa penati kwa Simba
Haruna Moshi akitolewa nje baada ya kuumia
Wachezaji wa Simba wakishangilia bao la pili.
Picha zote na Francis Dande wa Globu ya Jamii
Simba mmenipa raaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaa,mbili kwa buyu,tanzania yote wanajua kua YANGA ni KOBE wa Juu Ya MTI[ANABEBWA TU]rejea miaka yote walio twaa ubingwa,wamewai kuwashawishi timu ya mji mpwapwa ijotee ktk ligi ili wao watwae ubingwa,karibun hivi walimkatia rufaa nyoso ili wawe mabingwa ila hawatuwez kwa NGOZI,ni hayo wadau
ReplyDeletewakatabahu maqqmuz tzSimba mmenipa raaaaaaaaaaaahaaaaaaaaaaaa,mbili kwa buyu,tanzania yote wanajua kua YANGA ni KOBE wa Juu Ya MTI[ANABEBWA TU]rejea miaka yote walio twaa ubingwa,wamewai kuwashawishi timu ya mji mpwapwa ijotee ktk ligi ili wao watwae ubingwa,karibun hivi walimkatia rufaa nyoso ili wawe mabingwa ila hawatuwez kwa NGOZI,ni hayo wadau
wakatabahu maqqmuz tz
Wawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah! Mnyama umekata ngebe na kelele za Yanga. Walikuwa wanachonga sana jana kwenye facebook. Mpira hauchezwi kwa maneno bali uwanjani, yaani mbili bila, tehe hehe! Tena wajue kuwa hizo goli wameonewa huruma kwa mpira wa mnyama hata bao tano zingefika. Tuwazomee Yanga makopo (haooooooooooooooooo wachovu). Simba tuondeleze umoja na mshikamano kikosi ni kizuri sana licha ya hujuma za TFF za kumbania mchezaji wetu kutoka Jamhuri ya Afrika ya Kati (CAR), Gervais Kago katika Ligi Kuu msimu ujao. Yaani nina hasira na Yanga!!
ReplyDeletePenalty given to Simba really killed the whole game, vinginevyo tunge enjoy mpira mzuri leo wenye upinzani na mvuto. Lakini marefa wetu ndiyo hivyo tena.
ReplyDeleteWADAU MBONI RAHA!!
ReplyDeleteNimekula futari kwa kutanuuuua leo hapa ukerewe!!
Niliposikia FAT wameng'ang'ania kifaa chetu kipya kisishuke dimbani nitahisi tu mbinu zile zile za kiyangayanga zinaanza kutumika kukwepa mkong'oto.
lakini leo wamemjua mnyama ni kiboko kiasi gani.
Leo vipopoo vyangu nimevila kwa raha tupu, sasa jangwani kimyaaaa.
Hao yanga, samahani sana wadau, nawafananisha sana na hawa man u, kubebwabebwa tu. Ubingwa wao huwa na mikingamo kibao, kabumbu hasa hawaliwezi.
Kama unadhani sina ushahidi, mpenzi wa man u, rudisha kumbukumbu za man u vs barcelona, utaelewa nasema nini.
kisha kumbuka ile picha ya refarii mwenye jezi ya man u.
Kubebwa tu.
Yanga mbeleko, man u mbeleko!!
Lakini leo ukweli umedhihiri.
HOYE MWANA SIMBA HONGERA, SIMBA SPORTS CLUB!!!
Mndengereko, Ukerewe
Hongera sana kwa SSC
ReplyDeletesimba akishinda umeme hauzimwi hii balaaa kumbe tanesco ni simba ujuma
ReplyDeletempaka mpirani bongo hoyeeeeeeeeeeeeee
watu wazima wanatoka jasho kisa hiyo ngao, ngao haijatulia utazani jeneza bwana
ReplyDeleteBarca hureeeeeeeeeeeee! Oh sory jamani, Simba hureeeeeeeeeeeee!!!!!
ReplyDeleteSupu: Hicho kichwa cha habari mie kimeniacha mataani. Nilisoma na kuelewa kuwa SSC ndio waliofungwa tungi mbili. Kumbe kiswahili tu kinanishinda. Kweli kiswahili chetu cha Dongo kuinama na Dudu Proof kimepitwa na wakati!
ReplyDeleteBlackmpingo
Kudaaaadeki! Mtu anapigwa chenga mpaka anakaa chini anakuwa mtazamaji.
ReplyDeleteBora amani irudi mtaani. Yanga wakishinda ni kelele tupu. Mara bungeni, safari hii huenda wangetaka kuvamia Ikulu kabisa. Hata maji watu hamnywi.
Heko wana Lunyasi!
Jamani rahaaaa!Raaaahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!
ReplyDeleteSimba OYEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE""" KUBWA SANAAAAA!
Siku zote Yanga haina kitu. Wao mpira wanauweza kwenye vyombo vya habari tu. Ni sawa na mpira wa Uingereza. Wanapambwa na magazeti tu lakini wakija uwanjani weupe.
ReplyDeletekwanza lingao lenyewe jekundu! afadhali tumeligomea kimtindo! maana tungeshinda tukagoma kulibeba TFF mngeanzisha zengwe. sasa wapeni hao hao mliowakusudia na kuwawekea rangi zao. kwenye jengo letu hakuna nafasi kama mijezi mliyoleta. mtavaa wenyewe!
ReplyDeleteTutakutana mbele ya safari!
Mimi Yanga ila naipongeza simba kwa Ushindi..Naipongeza simnba kwa sababu baada ya kufungwa na Yanga kwenye kombe la kagame walirudi kwenye ubao wa kuchora/kuchorea?(drawing board) na kujipanga upya..wakarebisha makosa,ufundi na matokeo yake tumeyaona.Yanga sasa na nyie mjipange Upya angalieni wapi mlikosea ili mparekebishe..Hakuna cha Uchawi hapo..mpira siku hizi ni ufundi.
ReplyDeleteDavid V
Simba hawana lolote,waliumia sana wakati Yanga walipopata mwaliko bunge,mechi ya jana yamejituma kufa na kupona ili nao waalikwe Bungeni,kwa taarifa yenu hamtaalikwa ng'ooooooooooooooooo!
ReplyDeletehicho kingao hakina mpango mbona kwenye kombe la ukweli(afrika mashariki na kati) mulizima umeme .... lol
ReplyDeletepicha zimetulia, mi nilitaka kudhani kuwa mmefanya maphotoshop kumbe sivyo. Hongera mpiga picha. Kwa Simba..Eee kidedea!
ReplyDeleteYanga bado tuko juu,kufungwa na simba tena kwenye ngao(Mninga) wala kwangu hainiumizi kabisa,sie yanga yetu ni Ndoo ndo huwa tunacharuka kama wehu!......YANGA NI MABINGWA TU!
ReplyDeleteBonge la uwanja! Hapo ni Dar kweli embu tufamisheni wenzenu.
ReplyDeletejamani rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaa simba oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee yanga puhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh simba simba simba simba,AUNGURUMAPO SIMBAAAAAAAAAAA OH OH OH OH SIMBA IYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO
ReplyDeletewaooo simba hongereni sana kwakweli tulifuraia ushindi japo tulikuwa giza mwanza tuliposikia tulifarijika UNCLE MICHUZI MWANZA GIZA SIKU YA 5 NA MAJI YANI TABU TUPU!!!!!!!!!
ReplyDeleteMungu amjalie michuzi apate habari za maana ili hizi picha zipotee kwenye hii page ya kwanza
ReplyDelete