Toka kushoto ni Bw. Peter Makutian kutoka Hifadhi ya Ngorongoro, Naibu Spika Mhe. Job Ndugai (Mb), Bw. Joseph Machumu kutoka Hifadhi ya Ngorongoro, Bi. Julie Lyimo kutoka TANAPA, Bw. Paul Makelele kutoka Ubalozi wa Tanzania Kanada, Bi. Robson E. Laseko kutoka Kampuni binafsi ya LAKE DULUTI Lodges iliyoko Tengeru Arusha, Bw. Richard Masalu kutoka Ubalozi wa Tanzania Canada, Bw. Diocless Emmanuel kutoka TANAPA, Bw. Robson E. LASEKO kutoka LAKE DULUTI Lodges iliyoko Tengeru, Arusha na wa mwisho aliyesimama ni Bw. Pius Momburi kutoka Kampuni binafsi ya African Spoonbill Tours and Safaris Ltd ya mjini Moshi. Aliyechuchumaa ni Bw. Rashid Zara kutoka Zara Tours iliyoko Toronto Kanada. Wadau wote hawa wako katika maonesho hayo kutangaza vivutio vya Tanzania nchini Canada
Balozi wetu Canada Mh. Alex Massinda akiwa na Naibu Spika Mhe. Job Ndugai kwenye Maonyesho ya Utalii ya Montreal. Wengine kwenye picha ni Bw. na Bibi Robson E. Laseko
Mhe. Balozi na Naibu Spika akiwa kwenye picha na washiriki kwenye Maonyesho hayo kutoka TANAPA, Hifadhi ya Ngorongoro na Ubalozi wa Tanzania, Ottawa, Canada.
Katika kipindi hiki ambako nchi jirani zetu kuna tishio la ugaidi. Sisi ndio tuongeze juhudi za kutangaza utalii wetu. Tutumie slogans mbalimbali kama vile " ...your tour will be always safe with us", "...Tanzania takes you safely.... bla bla. Hii ndo nafasi yenyewe tusilaze damu nyie bodiya utalii
ReplyDelete