June 2011
The recent announcement by government through Prime Minister Mizengo Pinda of expenditure estimates for 21 regions and 133 districts for the fiscal year 2011/12 provides a dim light at the end of a dark tunnel when it comes to fighting unnecessary expenditures. The presentation shows some reduction in unnecessary spending such as travel expenses, acquisition of new vehicles and so on.

Sikika's analysis of the presentation shows that all unnecessary budget items sum up to about Tsh 30.4 bn, which is about Tsh 7.8 bn, or 20 percent, less in comparison with the last financial year’s budget where those items summed up to Tsh 38.3 bn. This commendable development can mainly be attributed to the cuttings of travel expenses which have been reduced from Tsh 10.9 bn in the 2010/11 to Tsh 8.3 bn year 2011/12, that’s a decrease of 24 percent. 

Trainings have also been successfully reduced from Tsh 2.3 bn to Tsh 1.9 bn, implying a decrease of 19 percent. Both expenditures on hospitality supplies and on fuel, oils and lubricants are also cut down by about 20 percent. The allocations for new vehicles drop from Tsh 2.9 bn to Tsh 1.1 bn; this is Tsh 1.8 bn or 63 percent less than the previous year.

Overally, these budgetary reductions across regions are truly remarkable. They show that the government is starting to implement what the Prime Minister proclaimed in 2008 when he announced a refocus to activities that benefit the general populace, particularly in rural areas where the bulk of the Tanzanian population lives, rather than concentrating on ineffective activities like seminars, workshops and the acquisition of expensive vehicles. Moreover, the Minister of Finance reemphasized, on the 8th of June 2011, that “the government will continue with its efforts to control expenditure by suspending procurement of all kinds of vehicles except for special reasons; and with approval of the PM’s office”.

Sikika takes this opportunity to congratulate the Prime Minister for adhering to his own and the Minister of Finance’s statements by reducing unnecessary expenditures – in particular regarding the acquisition of new vehicles. But, at the same time, raises the following concerns: 14 out of 21 regions did not budget for vehicles at all calling the sustainability of this financial development into question.

 If these regions just postponed the purchasing of vehicles for one year, as the Minister announced, they will budget for those expenditures in the coming financial year. But what matters is not a total elimination of such costs; rather it is to ensure that public funds are spent economically and bring value for money. Thus, we would prefer to have the government purchasing favourable vehicles which ‘do the job’ instead of pricy Land Cruisers and SUVs.

In total, the regions managed to save almost eight billion Tsh by cutting down unnecessary activities. This raises the question where this huge amount is diverted to. Sikika insists on redirecting more money to the health sector whose budget stagnates while all other key sectors are receiving more than in the previous year.

Sikika is also of the view that though considerable progress has been made in as far as fighting unnecessary expenditures is concerned, the government should do more as the figures are still unreasonably high. The government should also desist from lip service and diligently implement all measures meant to reduce unnecessary spending for the benefit of the general public.
no image
Usataadh Muhidin naomba uniweke kwenye safu yako ili nami nitoe rai yangu kwa wana Arusha ambako mimi ni mdau kuhusiana na kauli za akina Mbowe na Lema.

Nianze kwa kusema nasikitishwa mno na uzandiki wanaotuonyesha kwani mwelekeo wao ni wa kung'ang'ania shari badala ya amani. Madiwani ambao wamepigiwa kura na wananchi wa kata zao wamewasikiliza wapiga kura wao na wakaona busara ni kukaa kwenye meza ya muafaka na kupata muafaka ili shughuli ziende mbele.

Leo anaibuka bwana Lema na kudai ati hautambui muafaka kwa kuwa hauna baraka za vikao vyao vya chama chao. niseme tu huu ni upuuzi ambao ukiachiwa uendelee utaturudisha nyuma kimaendeleo. Madiwani walikuwa wakisusia vikao lakini kwa kuwa kanuni zinawabana vikao vikawa vinaendelea na maamuzi yanatolewa. sasa wameona hawana tija kwa kususia vikao na ni bora washiriki vikao vya kuleta maendeleo jijini Arusha.

Leo wanaibukla watu wawili na kuropoka bila aibu ati hawautambui muafaka mpaka OCD na Mkurugenzi waondolewe. Kisa hawakufanya kazi kwa matakwa yao. Nchi haiendeshwi hivyo. wale ni watumishi wa umma waliokabidhiwa majukumu ya kulinda usalama wa raia na kuhakikisha jiji linaendeshwa kwa mujibu wa sheria na kanuni za serikali.

 Mambo ya kudai ati chama hakina habari ni kutaka kuchochea vurugu tu, na kuendelea kumpa nafasi bwana huyu akamwaga uchochezi wake kwenye vyombo vya habari ni kutaka kuliangamiza taifa bila mantiki. Mimi nasimama upande wa madiwani na nawaunga mkono kwa dhati kabisa na kama wao akina Mbowe na Lema hawataki basi wawavue uanachama na uchaguzi mdogo utaitishwa nasi tutawaita kwenye chama chetu tuwasimamishe na kuwahakikishia ushindi.

Jamani Arusha tuamke sasa, tazameni barabara za maeneo ya bondeni zilivyoharibika, nendeni marikiti muone kulivyokosa mpangilio , piteni pembezoni mwa jiji muone adha ya miundombinu. sasa tunamaliza mwaka kwa porojo za siasa tu na malumbano na serikali hakuna hata dalili ya maendeleo. Tuseme hapana kwa Lema ili akafanye kazi tuliyomtuma na kama ameshindwa bas awapishe wenye nia ya kuchapa kazi. Hatujamtuma akapigane bungeni kwani ubondia wake hauna tija kwetu wana Arusha.
 
Ndimi Yussufu Laiza
mwana Arusha mzaliwa wa Bondeni
simu ya kiganjani 07 13 211 726
Kuanzia Ijumaa hiii ya tarehe 01 Julai, 2011 Kituo cha Utamaduni Makumbusho (Makumbusho Cultural Centre kwa kushirikiana na Kijiji Cha Makumbusho Pamoja na bendi kongwe ya muziki Tanzania Msondo ngoma, watakuwa wanawaletea burudani kabambe ya Mtanzania, ambayo inajulikana kama JIVUNIE CHAKO MTANZANIA. Siku hiyo itakuwa ni siku ya mtanzania kujivunia na kufurahia kilicho chake.

Kutakuwa na vyakula cya asili, vichekesho vya kitanzania, Maonesho ya mavazi, Ngoma za asili, burudani ya muziki kutoka bendi za Kitanzania, huku ukinywa vinywaji vilivyotengenezwa na makampuni halisi ya Kitanzania.


Hakuna mahali pengine mtanzania utaonesha Utanzania wako, ni Makumbusho Cultural Centre ndani ya Kijiji cha Makumbusho, Kila IJUMAA YA KILA WIKI.


KARIBU NI WOTE TUJIPONGEZE
Mrembo wa Afrika katika nchi ya Scandnavia, Michelle Jeng, akitoa msaada katika moja ya vituo vitatu vya watoto yatima alivyovitembelea wakati akiwa Tanzania.Mrembo huyo anatarajia kuondoka nchini na kurudi Sweden mnamo tarehe 2 July.

 Mhariri wa Citizen wa Bakari Machumu akimpatia maelezo Nape, kuhusu bodi ya uhariri ya gazeti hilo ambavyo hujindaa. Kulia kwa Nape ni Makunga na wengine ni wajumbe wa bod ya uhariri wa gazeti hilo wakiwa kikaoni.

Katibu wa NEC, Itikati na Uenezi, CCM, Nape Nnauye akizungumza na Wahariri wa magazeti ya Kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, alipofaya ziara katika ofisi za kampuni hiyo, Tabata Dar es Salaam. Wa pili kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda na  Kshoto ni Mhariri Mtendaji wa kampuni ya Mwananchi Communications Ltd, Theophil Makunga, Mhariri Mrendaji gazeti la Mwananchi Dennis Msacky, na Mhariri wa Mwanaspoti Frank Sanga. 
Nape akionyeshwa maandalizi ya gazeti la Mwananchi katika hatua ya mwisho kabla ya kwenda kuchapwa mtamboni. Anayempa maelezo ni Mhariri Mkuu wa Mwananchi Bw. Theophil Makunga.
Waziri wa nchi ofisi ya Rais Utumishi wa umma na utawala bora Haji Omar Kheri akitoa hutuba ya Bajeti ya Wizara yake 2011/2012 katika ukumbi wa baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Mwenyekiti wa kamati ya katiba,Sheria na Utawala bora Ismail Jussa Ladhu,akisoma hotuba ya makadirio na mapato na matumizi ya ofisi hiyo,katika baraza la Wawakilishi Zanzibar.
Mwakilishi wa jimbo la Mtambwe Salim Abdalla Hamadi akibadilishana mawazo na Mkurugenzi wa nyaraka Hamadi Omar nje ya ukumbi wa baraza la Wawakilishi Mbweni(Picha na Yussuf Simai Maelezo Zanzibar).
 Nape Nnauye akizungumza na wafanyakazi wa Global Publishers katika chumba cha habari cha Global. Wengine ni Mrisho, Ndauka, sixtus na Ally.
 Nape akiwa katika ofisi za Global Publishers. Kushoto ni  Abdallah Mrisho Wengine kutoka kulia ni, Sixtus Mapunda, Maloto,Ndauka na Mhariri kiongozi wa michezo wa Global Saleh Ally
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na Meneja Mkuu wa Kampuni ya Global Publishers, wachapishaji wa magazeti ya Uwazi, Kiu, Ijumaa na Champion, Abdallah Mrisho, baada ya kuwasili Ofisi za kampuni hiyo,Mwenge, Dar es Salaam. Wapili kulia ni Mhariri Kiongozi wa kampuni hiyo  Oscar  Ndauka na Mwandishi wa kampuni hiyo Luqman Maloto na wapili kushoto ni Katibu Msaidizi Mkuu wa Idara ya Itikadi na Uenezi, Sixtus Mapunda.
Hi Ankal!!!

Today its the  4th birthday of My Lovely Daughter, Nadya, Please Ankal give me even a piece of space in the Blog ya Jamii to show my happiness to other stakeholders of Blog ya Jamii, Thanx in Advance Ankal.

Allah amjaalie miaka mingi ya kuishi katika kutambua uwepo wa yeye (ALLAH) mwenye kuneemesha neema ndogo ndogo na kubwa kubwa pia.

Its me Maftah!!!(Baba Nadya)

By the end of 2011, the global population will have reached 7 billion. This is more than double the number of people living just 50 years ago. While celebrating this amazing milestone, the ability for countries to plan effectively in order to ensure the rights of each and every person is respected and protected becomes more urgent. New opportunities and challenges will also inevitably arise.

To celebrate this important landmark, UNFPA in Tanzania, as part of the UN system Delivering as One, intends to roll out a 7Billion countrywide campaign that aims to create public understanding, generate discussion and ensure action around population issues.

The UNFPA Tanzania Office will commission by July 15 2011, a Tanzania based event management/communications and/or marketing institution/agency. Their task will be to develop and manage the Tanzania 7Billion campaign.  In addition to experience in campaign design and management, the institution/agency should have a good track record in: sponsorship raising, mobilizing young people, media relations, monitoring and documentation.

If you are a company that has the ability to engage people from all works of life and particularly young people, fundraise, produce and implement creative ideas, please contact us urgently for more information ….

Sawiche Wamunza, Communications Analyst, United Nations Population Fund, 11 Ocean Road, Sea View, P. O. Box 9182 Dar es Salaam, Tanzania, Cell: + 255 767 919 729, Email: wamunza@unfpa.org


 JB akipika chapati kwenye moja ya scene katika filmu ya SENIOR BACHELOR.
Richie Mtambalike akiwa na production manager Said Barafu

Na timu ya Globu ya Jamii, Tanga
Filamu ya Senior Bachelor imepangwa kufunga pazia la wiki ya maonyesho ya wazi ya filamu yanayoendelea katika viwanja ya Tangamano Mjini Tanga.

Filamu hiyo ambayo itaonyeshwa Jumamosi hii katika Tamasha la Grand Malt la wazi la filamu linaloendelea viwanjani hapo imeongozwa na Single Mtambalike(RICHIE) na  production manager ni Suleiman Said Barafu.

 Akiongea nasi Musa Kissoki Mkurugenzi wa Sofia Production waandaaji wa Tamasha hilo amesema anaamini filamu itasisimua wengi kwenye maonyesho hayo hasa kutokana na uigizaji wake.

"JB ni moja ya waigizaji wenye mbwembwe sana, hivyo hii imetoka kuwa moja ya kazi zake nzuri ambazo tutazionyesha katika tamasha hili la GrandMalt la wazi la filamu Tanzania.

MUIGIZAJI wa filamu hiyo Jacob Stiven maarufu kama JB amejizolea umaarufu kutokana na filamu hiyo hadi kupelekea kupachikwa jina la Erick Ford alilotumia katika muvi hiyo.

Senior Bachelor ni moja ya filamu pendwa kuonyeshwa katika Tamasha hili
JB anatarajiwa kuwepo mjini Tanga kufungua filamu hiyo katika hadhara kwa ajili ya maonyesho yake.
The Rt. Hon Amama Mbabazi - Prime Minister of Uganda welcomed by Sangeev Halooman - resident manager of Mount Meru Hotel
 Former President of Kenya His Excellency Daniel T. Arap
Moi's arrival at Mount Meru Hotel

By MichuziBlog team
in Arusha
Motorcades, bodyguards and security detail are tight at the Mount Meru Hotel in Tanzania as East African Countries’ government delegates attend a conference themed “A decade of service towards a political federation”. On stage at the moment presenting the “Vision for East African Countries: Yesterday, Today and Tomorrow” is H.E Daniel T Arap Moi former President of Kenya, H.E Al-Hajji Ali Hassan Mwinyi former President of the United Republic of Tanzania and Rt. Hon. Amama Mbabazi, Prime Minister of the Republic of Uganda.

After this session, delegates will enjoy lunch at the Mount Meru Hotel after which the conference will continue at the hotel with keynote speaker Hon. Amanya Mushega, Former Secretary General of the EAC, will address delegates about “Catalysing the EAC Integration Process: A recipe for realization of the Political Federation”.
 
This evening, conference goers will enjoy a wonderfully festive Dinner and East African Cultural Evening at the Mount Meru Hotel.

Representatives from both mainland Tanzania and Zanzibar in a group photo during National Consultative workshop for identifying national priorities under Global Environmental Fund (GEF).

By Riziki Abraham.
The global and national environmental priorities identified by representatives based on three focal areas which are Biodiversity, Climate Change and Sustainable Land Management (SLM) will be so useful to the country and for sustainable livelihoods of people.
 
Assistant Director of Environment in Vice Presidents office, Mr. Stephen Nkondokaya said that yesterday when closing a two days National Consultative workshop on the identification of national priorities under GEF STAR-5 which intends to strengthen each country’s ability to ensure Global Environmental Fund (GEF) resources are been allocated in a transparency manner.
 
Nkondokaya added that the proposed environmental priorities will help to address environmental challenges namely in the following areas: biodiversity, climate change, and land degradation. Also, urged stakeholders to ensure timely submission of proposals from their respective sectors.

The two days National Consultative workshop on the identification of national priorities under GEF STAR-5, bunged up yesterday in Dar es salaam organised by Vice President’s Office including various representative from both mainland Tanzania and Zanzibar, representing key Ministries, local government, International Organisation, Development partners, Academic and Research Institutions, Private sector and NGO’s/CBOs.


Kikosi cha Yanga.
 Kikosi cha Elman 
 Mshambuliaji wa Timu ya Yanga,Davies Mwape akiwa katika harakati ya kumtoka beki wa Elman,Badri Mo'Alim katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup uliochezwa jioni hii ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.
 Wachezaji wa Timu ya Elman ya Somalia,Mohamed Abukar (kushoto) na Said Mohamed (kulia) wakiwania mpira na Mshambuliaji wa pembeni wa timu ya Yanga,Kigi Makasi (kati) katika mchezo wa Mashindano ya Kagame-Castle Cup ndani ya uwanja wa Taifa jijini Dar.


 Mwape wa Yanga akiwa chini mara baada ya kufunga bao zuri sana kwa kichwa kutokana na Kipa wa timu Elman kuuteme mpira uliopigwa na Julius Mrope.

Hatari langoni mwa Elman ya Somalia.
Sehemu ya Mashabi wa Yanga waliofurika ndani ya uwanja wa Taifa leo kuisapoti timu yao.

 Kaimu Mkurugenzi wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Juliana Matagiyasoda (wanne kushoto) akimkabidhi bendera ya Taifa Nahodha wa timu ya Wanawake (Twiga Stars),Sophia Mwasikili (kulia)wakati timu hiyo ilipokuwa ikiagwa leo katika ukumbi wa mikutano wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) tayari kwa safari ya kweda jijini Harare,nchini Zimbabwe kushiriki mashindano ya COSOFA.Wengine pichani ni baadhi ya Viongozi wa timu na Wachezaji wa timu hiyo.
Katibu Mkuu wa TFF,Angetile Oseah akizungumza na vyombo vya habari mchana wa leo wakati wa kuiaga timu ya Taifa ya Wanawake Nchini (Twiga Stars) inayotarajiwa kuondoka kesho kuelekea nchini Zimbabwe kushiriki mashindano ya COSOFA.
Kaimu Mkurugenzi wa Wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo,Juliana Matagiyasoda akizungumza na vyombo vya habari mchana wa leo.
Baadhi ya Wachezaji wa Timu ya Taifa ya Wanawake nchini (Twiga Stars).
 Bill Gates na mkewe Melinda wakiwa mkekani huko Bagamoyo wakipata maelezo kutoka kwa mtafiti wa chanjo ya malaria.
Mke wa Bill Gates Melinda akiwa na zawadi aliyopewa na mmojawapo wa washiriki wa chanjo ya malaria huko Bagamoyo.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na baadhi ya marais wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika AU akimpongeza Rais mstaafu wa Brazil Lula Da Silva kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 17 wa Wakuu wa nchi za AU uliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa Sipopo,jijini Malabo,Equatorial Guinea leo. Hotuba hiyo ya kusisimua ilitilia mkazo kwa nchi za Afrika kushirikiana ili kujiletea maendeleo na kuepuka misaada yenye masharti inayolididimiza bara la Afrika katika lindi la umaskini.
 Ilikuwa  pata shika na nguo kuchanika katika Onesho la "Afrika Tage" mjini Freudenstadt, nchini ujerumani, siku ya jumapili 26.06.2011 wakati kikosi kazi cha Ngoma Africa band aka FFU Ughaibuni kilipofanikiwa kwa mara nyingine kuwadatisha akili washabiki wake kiasi cha washabiki hao kushindwa kijizuwia na kuvamia jukwaa la FFU na kwenda sambamba na gwaride la mziki...wasikilize ffu at www.ngoma-africa.com
 Kamanda Ras Makunja wakiongoza ligwaride
Washabiki wakipiga kwata jukwaani 
 Palikuwa hapatoshi
FFU  Ughaibuni walipowasili mjini hapo
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais Fatma Ferej akisoma majumuisho ya michango ya Wajumbe waliochangia
 MWAKILISHI wa Magomeni Salimin Awadh akitaka maelezo ya matumizi ya komoja ya Vifungu vya bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais wakati wa kupitisha vifungu vya Wizara hiyo jana.
MWAKILISHI wa Mji Mkongwe Ismail Jussa  akitaka ufafanuzi wa kimoja cha kifungu cha Wazari hiyo wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais. 
 Hija  Hassan Hija( KIWANI) akitaka ufafanuzi wa kifungu cha bajeti wakati wa kupitisha bajeti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Mamamu wa Kwanza wa Rais 
SPIKA wa Baraza la Wawakilishi  akisikiliza  hoja za Wajumbe  katika kupitisha vifungu vya bajweti ya Wizara ya Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais.
Picha na mdau Othman Maulid-Zanzibar
Wafanyabiashara wa supu ya magongoro wakiandaa kwa ajili ya wateja wao katika stendi kuu wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma,ambayo huuzwa kati ya tshs 1000 na 1500 kutegemea na ukubwa wake.
Mchuuzi wa Samaki wakavu aina ya perege  akipanga kitowep hicho katika mazingira ambayo siyo salama kiafya kwa walaji kama alivyokutwa na mpiga picha wetu Muhidin Amri mjini Namtumbo hivi karibuni
Mkuu wa mkoa wa Ruvuma Dkt Christine Ishengoma akiwa ndani ya ndege ya shirika la Indigo Aviation siku ndege hiyo ilipozindua safari zake kwa abiria kati ya Dar es salaam na Songea mwishoni mwa wiki iliyopita katika uwanja wa ndege wa mjini Songea.Ndege hiyo inafanya safari zake kati ya Dar-Songea kila Jumatatu na Ijumaa.Picha na Muhidin Amri wa Globu ya Jamii, Ruvuma