Home
Unlabelled
mshikaki ulionona....
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
polisi wametumia akili yule asiye na helmet amekaa katikati ili wamkinge incase ikitokea ajali....hahahahaha wana usalama hao wanaosimamia sheria.
ReplyDeletePOLISI RUKSA KUJITUNGA KATIKA MTU WA MSHIKAKI!!!
ReplyDeleteONGERA ZENU MAPOLISI WA KIBONGO!!!
AHLAM,,,LONDON
Du! hawa si ndio Tigo wanao kamata waliobebwa kimishkaki style? Kweli mtunga sheria ndio Mvunja sheria
ReplyDeleteKoplo mzima hana helmet!!
ReplyDeleteMshikaki ndiyo nini?? Mbona kiswahili kigumu? Maana hapa naona pikipiki, na watu watatu, dereva pamoja na askari wawili. Je, askari ndo mshikaki? Na kama ni hivyo, mbona mnawadhalilisha?
ReplyDeleteNa Mdau-Sweden
Mdau - sweden hayo maneno ya nyumbani baba...hujafika muda mrefu huwezi yajua.mshikaki ni hiyo staili ya kupakizana kuanzia watu watatu kuendelea kwenye pikipiki.muwe mnarudi jamani likizo MTACHEKWAAAA
ReplyDeleteMDAU WA - SWEDEN MSHIKAKI NI STALI YA KUPAKIA WATU ZAIDI YA WAWILI KWENYE PIKIPIKI.DUH KAKA ULIONDOKA LINI BONGO?TANGU ENZI ZA KISHITOBE, GANGWE NK NINI?.... MRUDI LIKIZO JAMANI TUWAPIGE MIZINGA BAR BASI KHAA
ReplyDeleteHii picha na i print natembea nayo. Polisi akinisimamisha na kunikamata, namuonyesha..
ReplyDeletehahaahahahaah wacha nicheke tu jamani tanzania raha sana ...
ReplyDeleteWallah umenona haswa, natamani dereva angekuwa polisi trafiki!
ReplyDeleteKamanda Mpinga tunaomba muongozo......hivi hao jamaa walikuwa wanaenda wapi??? au walikuwa doria....labda na huyo dereva ni askari kanzu...teh teh teh...au wamemkamata so wanamtight asiskimbia...ha ha ha
ReplyDeleteHata mimi mdau naiprint nitembee nayo kabisaa,tena naifanyia Lamination ili ikae mda mrefu.
ReplyDeleteDuh this is Bongo bana.
Ahhahahaha.
dah hyo kali ya mwezi wa 4. bongo noma
ReplyDeleteDerava wa Bodaboda umepewa hela yako na abiria hao Wana wa Ras Makunjas?
ReplyDeleteAu ndio imekula kwako kwa bei ya badala ya kukamatwa?
Polisi hawaruhusiwi kupigwa picha wakiwa kwenye sare zao..!
ReplyDeleteDavid V
Sasa hivi huyu koplo mzima anazidiwa akili au ndio kapendelewa hapo hahahahaha kazi kweli kweli
ReplyDeleteHii ni "patrol" katika kuhakikisha "usalama wa raia" na mali zao unaimarishwa.
ReplyDeletemnapiga kelele juu ya mskikai? mmheshindwa kuona mkono wa sajenti ulipo!!!!!
ReplyDeleteUwiiiiiiiiii!jamani nimecheka miye hizo comment mpaka mbavu zaumu duh! Mpinga upo hapo!
ReplyDeleteEnyi wana wa Ras Makunjas, Polisi nauli ya Boda boda mmelipa au ndio mnatumia uzito wa kofia zenu?
ReplyDeleteRikireta ubishi tuna mwambia Koplo Marwa Kituoni pale Sitaki Shari ariandikie statimenti, rivuriwe mukanda, viatu, rinyang'anywe ufunguo wa pikipiki na riwekwe sero !
Hiri ri dereva ra bodaboda ritatupeleka kokoote kuanzia kwenye 'vibanda' kwa makusanyo yetu ya mgawo wa reo, rikireta ubishi tuta riaresiti na kuriweka ndani!
ReplyDeleteHapo nauli ya Polisi ni kukamatwa kwa Dereva wa Bodaboda !
ReplyDeleteWalimsimamisha akakaguliwa leseni yake utata mtupu, breki na taa hazifanyikazi vizuri sasa analipia kwa kuwapeleka wanakotaka !