John Mashaka
By John Mashaka 
I would like to take this opportunity to congratulate Mr. Zitto Kabwe for bringing forth a very healthy debate intended to keep our sacred and historic union (Tanganyika and Zanzibar). While I appreciate Mr. Zitto’s position, I must also categorically express my slight discord on some issues he has brought forth

Our union founders had one objective in mind; they envisioned a vibrant nation with its people living side by side, and by that I agree with his point of one government, and one head of state, which in this case can either be a president or an executive prime minister in the case of parliamentary system.  Of course our union has its short comings. Since the formation of Tanzania, things have evolved, and therefore, there must be a revamping of the Union’s initial accord.
The issue of one, two, three, or ten governments is not a solution. A Vice president with “Mikasi” as Zitto puts it, an executive, or a ceremonial prime minister will not solve this paradox. These approaches could possibly delay the implosion of the already delicate situation, because each side of the Union is decrying unfairness in the distribution of resources and leadership positions, and thus concluding it necessary to part ways. It is our hope that the constitutional review team will get to the bottom of the grievances if they are left to do their work transparently, and independently without political interference.

This could be the case, probably. However, one of the fundamental, malignant, underlying issues, fuelling separation seems to be under our radar screens; the religious intolerance which our leaders seem to avoid is a deadly pathogen in our union’s bloodstream. Burning of churches has nothing to do with either side’s grievances. This religious vice must be addressed urgently. The problem needs an antidote of tolerance and not mere public statements. This is what politicians and religious leaders need to face head on, not just the leadership structure and natural resources.

Tanzania has so many tribes. Thanks to Mwl. Nyerere and Karume for promoting Kiswahili which became the pillar of our unity that also fended off the vice of tribalism. In recent years rather, the so called UDINI has taken a very intimidating, scary, and polarizing role in our Union.
Religious zealots, fanatics, short sighted, and self centered politicians, who will stop at nothing to score political points, have hijacked the debate with carefully coded words to win public sympathy and popularity at the expense of the Union. They have failed to weigh the ramification of their selfish agendas on millions of lives on both sides of Tanzania. Some have gone as far as inflaming the situation by describing the Union as a religious persecution
Before jumping the wagon of keeping or abandoning the union, our leaders must face the inconvenient truth of tackling UDINI; a cancerous vice that is hastening the disintegration of the union. A pandemic of which if we don’t pay attention to, may soon leave us standing on a very wrong side of history. When UDINI roots shall have deeply entrenched themselves in the fabric of our society
Sudan was one nation less than a year ago. Today, we have the Islamic North and Christian South. Politicians from both sides therefore, need to understand that, even if our union collapses today, the elements of UDINI in both sides will send our separate countries drifting to unknown destinations in the turbulent high seas. One, two or ten governments, equitable distribution of resources and so forth may not help to save the union nor our respective countries as long as religious fanaticism is not addressed. We must all therefore, join hands in taming the spread of UDINI while practical solutions are sought to strengthen our Unity.

We have enjoyed relative calm in a very explosive neighborhood. Sudan, Somalia, Kenya, Democratic Republic of Congo, Uganda and even Rwanda have experienced and gone through some of the most imaginable difficulties. Our union disintegration may therefore come at a very high price; the situation could spiral out of hand with thousands of people losing their lives and properties in ensuing mayhem, both Tanganyika and Zanzibar enters into a diplomatic crisis, and their economies collapses.
Mr. Kabwe, you will agree with me that we are a generation that has been given so much, and so much is expected of us. We are expected to be wiser beyond our years; we are expected to be the supermen of our times, practically providing ideas and solutions to some of our most pressing needs and problems. We must therefore be very careful not to be swayed by the populist discourse. Our leadership skills must be unquestionable; we must be highly disciplined, keen and patient when handling issues this delicate. Else, we are going to brand ourselves as power hungry, selfish, and self centered humans that will stop at nothing in order to get public attention and sympathy

Our public utterances may signal failure and perhaps be misinterpreted, igniting the unthinkable. Politicians from both sides of the union must exercise restraint on their public statements, as they continue with the dialogue without disguising their selfish agendas under the pretext of Union shortcomings, especially at this time when the constitutional review team is trying to address the long standing imbalances. We must earnestly discuss the underlying grievances to scatter the cloud of uncertainty above our heads.

We still have time to solve our problems, and should not talk of disintegration at this point. All we need is patience and tolerance, calculated statements and patriotism to get the work done. Leaders from both sides must sit down on dialogue table; discuss the puzzle until a compromise is reached. Each side must offer concessions, and if this proves to be practically impossible, the matter should be taken to the people peacefully in the form of referendum, and let them decide on the course of action to either save or abandon the union. This is the inconvenient truth
Mungu Ibariki Tanzania

Mashaka.john@yahoo.com

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 72 mpaka sasa

  1. AnonymousMay 28, 2012

    bw. mashaka. asante sana kwa haya makala mazuri. tunashukuru kwamba wapo watanzania wenye imani na muungano wetu. wanaotuharibia ni wanasiasa na viongozi wa kidini. jamani hebu chukueni muda msome hii linki

    http://barenakedislam.com/2012/01/03/tanzania-zanzibar-muslim-leaders-want-to-turn-the-tropical-paradise-into-another-afghanistan-ruled-by-the-taliban/

    ReplyDelete
  2. AnonymousMay 28, 2012

    youman you have touched the untouchable.muungano siyo tabu, tabu ni hao wanasiasa na mujaheedin wanaopokea hela kutoka uharabuni kila siku.The biggest threat to Islam, is, the truth. Islam cannot survive in sunshine. Our Politicians and Pc’ers sure are giving Islam a dark room to breed in.
    Thanks to BNI, the sun is shining brightly on CAIR and their lying hatared. CAIR, Ibriham Hooper, you will NEVER run Christianity out of America. You do not have the balls to effect a good fight. Your only way to fight, is to go crying like a little baby that you are, to some lame brained politician. CAIR, we are on to you and your Islamphobia. You tried to shut down Lowes and you failed. You tried to shut down BNI and you have failed miserably, you bunch of cowards.

    ReplyDelete
  3. AnonymousMay 28, 2012

    I dont question Mr. Mashaka's genious mind or brilliance. Although I agree with the article's condemnation of bigotry, I find it slightly ironic that people are being urged to be tolerant of a group that is, as a whole, intolerant of differences themselves. I don't want to generalize about Muslims since the term covers people with a wide range of beliefs. But religious Muslims are often not very tolerant at all when it comes to issues like gay marriage, equality of women, etc. I don't think that means that we should be xenophobic or make generalizations about groups of people. But I do think that it means we should stand up more forcefully for our principles, and say, "we believe that all people are equal, and that includes gay people and women and all other groups. If you want to live here, you should at the very least have a tolerance for these principles". (And I think this applies equally to all religious groups, not just Muslims.). John , this is a well composed masterpiece. Mr. Kabwe has little to say in this piece
    goodjob

    ReplyDelete
  4. AnonymousMay 28, 2012

    I agree with you Mashaka that we need to protect and preserve our union. I'm not at all a supporter of dissolving the union, but I'm a supporter of a stronger union socially, politically, and economically. The formation or system of our current union is completely unacceptable based mostly on economical and political reasons.

    We need to have the union that can equally benefit both sides. CCM recognizes the fact that our union needs to be modified, but unfortunately they pretend to be oblivious to their own surrounding simply because they want to "honor Nyerere". That being said, I regret to tell you that the real question here is what kind of union is best for us?...one, two, or three governments? This is the question that we all need to answer for the benefit of our country.

    ReplyDelete
  5. AnonymousMay 28, 2012

    Mr. Mashaka this is a question: You talked about referendum who is going to vote? The islands, mainland people or both? If the mailand people are going to vote certaily the majority will go for the union, and if Zanzibarians are the only one to vote they will say no ... may be only CCM members will go for the union. If both .. ??? There are must be a mechanism which is fair for both countries. It doesn't make any sense at all to have one country to have autonomy and one country share whatever it has with another country without having its own autonomy (mainland).

    ReplyDelete
  6. UjiraniMwemaMay 28, 2012

    UjiraniMwema..
    Just A Glimpse of What Some Leaders are encouraging!...Giving a "Fantancy-Land" to some citizen thinking that future will be Heaven!..Listen, Enjoy Please and Goodluck!!..

    http://www.youtube.com/watch?v=if108QmFKt4

    ReplyDelete
  7. AnonymousMay 28, 2012

    mzee misupu, tunaomba rasmi johni mashaka kuingia mjengoni 2015. kama JK atampa viti maalum au kwa kuchaguliwa na wananchi wake wa kule kwa mzee stephen wasira, kwa sababu mashaka kwao ni bunda.
    wanasiasa wetu hawataki kuzungumzia hili swala mashaka alilolichambua kwa udnani. wengine kama zitto wanakimbilia kutoa matamko yasiyokuwa na miguu wakati rafiki yake jussa mdini mkubwa ndo chanzo cha vurugu zanzibar. hawa watu noma sana na tunashukuru sana kwa vijana wazalendo waliosoma wakaelemika kama mashaka kwa kututolea busara na hekima kama hizi. haya ndiyo tunayoyaita maandiko ya wasomi

    ReplyDelete
  8. AnonymousMay 28, 2012

    MZEE MISUPU USIBANIE COMMENTS ZANGU. I KNOW MASHAKA IS INTELLIGENT NA SIKU MTUKANA ILA NILIMUITA TU MOTHER F.. KWA SABABU YA UWEZO WAKE WA KI AKILI. HUYU JAMAA NI NYERERE MTOTO. TANZANIA INAJIVUNIA WAKINA MASHAKA, MILLEN, HASHEEM, DIAMOND NA WENGINE WOTE WANAOTUWAKILISHA VIZURI HUKO UGHAIBUNI. MUNGU AKULINDE UZIDI KUPIGANIA HILI SWALA LA UDINI AMBALO LIMEIKABA TAIFA LETU. TANZANIA INAHITAJI WAKINA MASHAKA 10.

    ReplyDelete
  9. AnonymousMay 28, 2012

    MR. JOHN.
    HATS OFF SIR,
    LAZIMA NIKUAMKIE
    SHKAMOO BECAUSE
    YOU ARE TALENTED.
    KAZI NZURI MKUU
    COME BACK HOME
    TANZANIA NEEDS
    YOU SIR. USILE SANA
    BATA KWA OBAMA

    ReplyDelete
  10. AnonymousMay 28, 2012

    kil siku mashaka ukiandika nazidi kuguswa na kipaji chako na jinsi unavyoweza kucheza na maneno na kuyafanya yawe na mvuto wa aina yake. Muungano una matatizo, hakuna anayebisha. Lakini kama muungano una matatizo, na jumuiya ya uamsho wanatofautiana na polisi kwa nini wachome kanisa? Hakuna namna nyingine ya kutatua issue ya muungano? Na kwa nini kwa mfano wasichome temple ya wahindi kwa mfano? Why kanisa? Kwa vyoyote vile, huu uchomaji wa kanisa utabakia kuwa doa kwa hawa wanauamsho. Wameupaka uislam matope. Wanataka kutumia mwavuli wa dini kutimiza azma zao.

    ReplyDelete
  11. AnonymousMay 28, 2012

    Kinachotokea Zanzibar ni FULL UDINI.mashaka said ina very cleaver manner. wanaochochea udini ni wanasiasa wakina Jussa na hao mujaheeden wa kipemba au CUF. hawa watu hata sijui kwa nini tunawaruhuzu kuwa bara. hawafai kabisa na udini wawao. Udini at its highest level. PERIOD. Viongozi (CCM) waliushabikia, wakauendekeza, na hata kuufadhili kwa maslahi mafupi ya kisiasa sasa mambo yameharibika - na bado.
    Tunaisikia Boko Haram ee? Tunaisikia Al-Shabaab ee? Sasa iko mlangoni mguu mmoja ndani. Matokeo ya viongozi kutoshughulikia matatizo kwa wakati kwa hofu ya kuwaudhi akina fulani ndio haya.
    Matokeo ya viongozi kusimama majukwaani tena majukwaa rasmi ya kitaifa kama Bungeni na kuanza kushadadia udini kama turufu ya kisiasa dhidi ya wengine kwa faida ya kulinda maslahi ya chama chetu badala ya kuzungumzia ukweli halisi ndio haya.
    Naomba niwatahadharishe viongozi wa CCM ambao kila kukicha hawaachi kukihusisha CHADEMA na udini usiokuwepo lakini katu hutawasikia wakizungumzia makundi yaliyo dhahiri kwa udini kama hili la uamsho huko Zanzibar! Mnakoipeleka nchi siko! Kikundi hiki na mengineyo kadhaa hasa kupitia mwamvuli wa nyumba za ibada yamelelewa kwa muda mrefu na CCM hususan huko Zanzibar, yamekuwa, na sasa yanajipambanua kwa rangi zao halisi - eti Dola ya KIISLAM YA Zanzibar!
    Kama wengi wasemavyo, nchi hii itaingizwa kwenye machafuko hususan ya kidini na CCM na si vinginevyo - yetu macho.
    serikali ya jk kama haiwezi kumuweka mashaka kwenye uongozi wa nchi basio sioni hata umuhimu wa kujiita taifa. huyu kijana uwezo wake ni mkubwa kuliko wa wabunge wote wa kuteuliwa wakiwekwa pamoja. na tukirudi kwenye swala la udini. nadhani muungano ukianguka basi hii ndio moja ya zawadi jk alowapa wana watanzania pamoja na kuiua chama cha mapuinduzi

    ReplyDelete
  12. AnonymousMay 28, 2012

    Unajua nilikuwa ninazo suspicion zangu juu ya Zitto lakini leo nimethibitisha kuwa ni light weight sana upstairs. mashaka kamchambua kisawasawa. this is what we need kwa hawa wanaojifanya wanajua kila kitu. kwa ni kigoma, kwenye haya makala ya mashaka ndio mwisho wa reli.. All he's done is labouring points which don’t make sense, and have proved that he has no real understanding of the issues raised huko Zanzibar na zilizopelekea kutokea kwa hizo vurugu jana na leo,- rather, he's jumping on a soapbox and having a whinge about how "SACRED" muungano is na ma dogma mengine kama wanayotuletea watu wa CCM....zitto angenyamaza siyo kukurupuka bila kujua kwamba kuna wachambuzi wakubwa sana juu yake waliojificha
    Bwana Zitto kama bado upo humu na unasoma please get some understanding of the subject, and you’ll find that people might listen to your points, rather than dismissing your witterings out of hand. ulizungumzia mambo mengi sana mara mwalimu wako lwakatama. mashaka yeye kaanza moja kwa moja kwenye pointi, kaingilia udini kaichambua hadi mwisho. anagalia pointi zake, mwenzio kakuacha kabisa mbele ya umma na kukufanya uonekane mjinga. ndo dawa za kupenda misifa. tena masaka kaandika haya makala kwa utulivu. ngoja tusubiri majibu yako mheshimiwa.

    ReplyDelete
  13. AnonymousMay 28, 2012

    I love mashaka. masaka ni shujaa wangu hata waseme nini. mashaka kasema kweli. siyo swla la uongozi wala rasilimali, tatizo zanzibar ni UDINI. Vulugu za huko Zanzibar tatizo sio Muungano, ila tu hicho kikundi kinatumia mwavuli wa muungano kufanya hizo vulugu, tatizo lao ni udini. Hawawataki Wakristu kwa ujumla. Ndio maana wanachoma Makanisa na Bar. Kama tatizo ni muungano, siwaende Ikulu???? Hao ni waongo tu, wameshaaza ubaguzi, udini utawamaliza hawa. inabidi na sisi tuwafukuze huku bara warudi kwao huko, kwanza wapige mbizi hadi zandibar. ili wakirudi warudi na pasipoti zao. hawa watu ni wajinga sana, chakula chao kinatoka kwetu, umeme wao unatoka kwetu, hivi wakiwa huru watajitegemeaje sasa? jamani utalii wao ni mdogo kweli. bandari yao itahudumia watu gani. hawa watu hawana fahamu kabisa. shauri yao wajiingize kwenye udini waone watakwavyoumia

    ReplyDelete
  14. AnonymousMay 28, 2012

    hivi wanaume wa kikurya wanapokeaga posa? mashaka mimi mwanamke nata nije kutoa posa. nime majibu tafadhali

    ReplyDelete
  15. kaka mashaka nchi hii ni ya kiswahili andika kiswahili ili tuolio wengi tuelewe jamaan na tufafanue huoni kabwe alivyoandika.kila mtu kaelewa makala uzuri asante kwa mada

    ReplyDelete
  16. AnonymousMay 28, 2012

    Its a strong signal to watanganyika that we (zanzibaris) are not colony of Tanganyika. Most of Tanganyikans don't even have idea on the history of Zanzibar. It's very shame for matured personel to think that the Archipelago depends on mainland for food and other living commodities. Tanganyikans purposely try to keep blinded eye on the contribution of Zanzibaris to Tanganyikaq. Up to 1992, the mailand was completely dark!!

    Zanzibar is so disadvataged for this kind of Union. To me, its better to unite with Kenya rather than Tanganyika!! How comes, the poopulation less than 1 mil to be poor, is there fair distribution of National wealth? where is 4.5%,

    Watanganyika tuacheni, Zanzibar was a great conutry before 1964, represented in UN with full ustaarabu.

    Tunajilaumu sana kwa kuwakopesha ustaarabu nyie watu mpaka leo munatwita wajinga. Hata kuvaa nguo, na kula chapati na pilau mulikuwa hamujui

    This is the message frm zanzibaris not muamsho!

    You will be soon wake-up

    ReplyDelete
  17. AnonymousMay 28, 2012

    naungana na wadau wengine wanaomuita mheshimwa john mashka jenius. nakubali ukweli kwamba mashaka ana kipaji cha kipekee, kwa maana siku zote maandiko yake yametukuka. yameenda shule na yakaelemika. mashaka hakurupuki kama wenzetu wakina zitto kabwe, ambaye anadandia mada kuandika vitu bila mpangilio. naomba bwana zitto ujifunze kwa mwenzako mashaka. pili, mimi ni mwislamu kama alivyo ndugu yangu zitto, na ninadhani zitto alikurupuka kuandika makala akihofia swala la udini lingeibuka kwani rafiki yake jussa ndo chimbuko la hizi vurugu za udini zilizohibukia zanzibar. kama mwislamu, naona aibu kujiita mwislamu kutokana na vitendo vya hawa ndugu zetu wa zanzibar. Kwa kuwa wameonesha kuwa nia yao ya kutaka kuuvunja mwungano ni kushambulia imani za kidini, hao ni watu wa kuadhibiwa vikali na dola ili wajue kuwa katika Tanzania mambo yote yanaweza kuvumiliwa lakini siyo harakati za kuleta udini na ukabila. Hawa wasionewe huruma hata kidogo. Viongozi wao watakapokuwa jela, jitihada za kuwaelimisha wale waliovutwa kwa mkumbo ziendelee. Kuutaka au kutoutaka mwungano hakuhalalishi uchomaji wa makanisa.
    Na katika hili la kuchoma makanisa, ndugu zako Waislam inabidi walijadili sana ili kuona wanaweza kulidhibiti vipi. Sijawahi kusikia Wakristo mahali popote Duniani wakichoma misikiti lakini ni mara nyingi sana kusikia kuwa waislam wamechoma makanisa. Hili halileti picha nzuri kwa uislam katika jamii za watu waliostaarabika na wanaoheshimu uhuru wa kuabudu. Waislam wachache wanaofanya mambo hayo wanaudhalilisha uislam kwa ujumla, na kuufanya uislam uonekane ni imani inayopalilia vurugu na utengano miongoni mwa jamii zenye imani tofauti.
    waislamu inabidi tujifunze, hata na zitto mwenyewe inabidi ajifunze kwa maana amekuwa ni mtu wa kukurupuka bila kuwa na umakini. nadhani kwa jinsi bwana mashaka alivyomchambua, atakuwa amejifunza na kutojiona tena mtu mwenye uwezo wa uchambuzi na kujenga hoja. jaribu kujishusha kidogo bwana zitto. wakina mashska wako wengi na ukicheza watafika hatua ya kukudhalilisha

    ReplyDelete
  18. AnonymousMay 28, 2012

    MASHAKA, ukweli wako ni 20% tuu.

    Hivi kwa nini umegusa juu bila kutaja shina na UDINI ni nini hapa tz. UDINI siyo kunyimana chunvi na kukataa kula kwa jirani ili usipate MAJINI au kulishwa NGURUWE. UDINI ni kuwanyima watu wa dini fulani FURSA za:

    1. Elimu kama tunavyoona data shuleni, na majibu huwa "HAWAPENDI SHULE HAWA".

    2. Ajira ili wasilete mambo yao ya majini na kuzimu ofisini kwetu, ndevu na vibaraghashee. Au ili kuonyesha tumebarikiwa kwa sababu sisi tuna kazi na kipato wao hawana na ni wakorofi na 80% ya magereza ni wao, hivyo dini yao si ya kweli (haiokowi).

    3. Uongozi: kiongozi akijulikana huswali swala 5 basi huyo ndo mdini hata kama ni mwadilifu wala habagui mtu. Yaani ili uchaguliwe hutakiwi kuwa na ndevu, bargashee, kuonekana unaswali au kufunga, we ndo isilamu safi unafaa kuwa kiongozi (kwa sababu uko karibu zaidi na dini yetu).

    4. Kiuchumi: watu hawaji dukani kwangu kwa sababu hawataki hela yao itolewe sadaka katika dini nyengine, huja tu ikiwa wanaporidhia hakuna bidhaa au ni mbali haitolipa kuchoma nauli na muda.

    5. Kijamii: kukosa marafiki kwa sababu tu sikubalini na Yesu. Napenda nishirikiane na wakristo na nifurahi nao lakini hawanipi nafasi kwa kuogopa kwao majini na kuzimu na kuwa mi ni adui wa Yesu.

    MASHAKA sijui unaleta maoni kwa kuwa unataka kutatua taizo au kwa kuwa unaumia kwa sababu kanisa limechomwa.

    Sijui hujagusa kiini kwa sabau hukijui au hutaki kulaumu dini yako kwa sababu unaogopa jehanamu. Ni msiba mkubwa ikiwa hata msomi anaogopa kusema ukweli na analeta tuhuma kama za wasiosoma.

    Hata wakoloni walivyawabagua baba zetu KOSA halikuwa la UKRISTO bali la wakristo wale. BIBLIA haikuwatuma, labda kama sheria za wazee. Sasa tusione kama tunaumizwa tumlaumu mkosaji hata kama ni wa dini yetu.

    Kila lawama za udini zikitolewa wamekuwa wakisema lete ushahidi au data la sivyo ni majungu. Mwalimu alivyokataa kukusanya sensa kwa kuzuia UDINI alionekana ana akili, nakubali, lakini alikuwa hatatui udini bali kuuficha ili ukuwe zaidi na sasa huo umekomaa. Data za dini zinatakiwa ziwemo kwenye takwimu ili zisaidie RESEARCH kuhusu matatizo yetu yanayosababishwa na imani la sivyo MAJIBU na mapendekezo yatakuwa TOTAL SPECULATIONS na hayatasadia. Kama vile "HAWAKUSOMA" unafikiri injenga vipi nchi? Ku-justify BIGOTRY ikiwa ni kiongozi?

    Na wanosema INTOLERANCE, mbona hao wakristo ndo hawawezi kushea ofisi na "SHETANI" ndo maana hubagua kiajira na kielimu.

    INTOLERANCE siyo tuu kuonyesha vurugu, hata kutumia nguvu ya serikali kuwabana watu kiajira na kielimu ni INTOLERANCE na style hii hutumiwa na watu wa dini iliyo serikalini.

    UJUMBE:
    Mashaka, ukimnyima mtu fursa basi ujuwe unajenga mjinai, akijinai utashangilia "yeee dini yao imeshindwa" lakini kiuhalisia mjinai huyu atakusumbuwa wewe na kodi yako itatumika kumlisha bure magereza. kodi hii ingeweza kutmika katika huduma za jamii. Wajinai wangapi tunaweza kuwafuga magereza bila kuumiza huduma kama elimu na afya?

    ReplyDelete
  19. AnonymousMay 28, 2012

    Mashaka ni babu kubwa, maana kila nikimsikiliza kwenye TV anaongea mambo ya kweli na hili swala pia ameongea ukweli. Ingawa kuna watu wakiambiwa ukweli wanaanza kuongea utumbo.

    ReplyDelete
  20. AnonymousMay 28, 2012

    HATA BARA udini upo tena saana.

    Huwa mnasema haupo, kumbe huwa mnauachia ukuwe zaidi.

    Mashaka: serikali inatakiwa iwe na sheria ya wabaguzi wa kidini katika katiba siyo kuishia kuseama "nchii inalaani ubaguzi wa aina zoote" wakati tunaona viongozi wanabagua kwa misingi ya kidini.


    angalia data za ajira serikalini tangu wakati wa ukoloni. hata sasa hivi mawaziri, DC, RC wameongezeka KIBAO kimegeuka imekuwa waislamu ndo wadini, kabla, no.

    ReplyDelete
  21. AnonymousMay 28, 2012

    Well done Mr. Mashaka, we really need pple like you to lead this nation..i like your way of thinking!

    Nontheless, i would like to criticise the third anonymous above, who said that the article ask pple to tolerate the groupe which is not tolerant of differences it self.

    If i clearly understood the article, you arged that group to be tolerant toward others!

    Either, he said that religious muslims are not tolerants at all, when it comes to gay marriages and equality of women..this is absolute ouregous!

    what i can say here, one of the two mentioned issues(gay marriages)is very much against afican culture and has got nothing to do with islam!

    And if some religious pple are agaist this is not only a case for muslims even catholic churche and other christian dinominations are against this sin!

    ReplyDelete
  22. AnonymousMay 28, 2012

    UDINI ni pale ukristo ukiguswa tuu. Waislamu wakilalamika kuna UDINI hamna mtu anawajali.


    Katiba mpya inabdi i-address tatizo hili kisheria. Kila mbaguzi ajikute jela kama nchi za wenzetu.

    ReplyDelete
  23. AnonymousMay 28, 2012

    First of all let me say thank you to the writer of this article Mr. Mashaka for putting togather such an informative beautiful and well thought article. Mr. Mashaka seem to be a prolific writer with very good command of the American English

    I am An American who happened to live in Tanzannia for 7 years, and also visted Zanzibar numerous times. contributing to the subject matter, bottors are correct. Islam is poisoning the minds of people of African descent in America. Of course, African paganism were the original religions of Africa, many of which had a strong central Supreme Being.

    Christianity, which is often regarded as the “white man’s religion” has had a long history in Africa, and some of the most ancient Judeo Christian writings are preserved in African languages when elsewhere they disappeared entirely. The languages include Coptic of various dialects, and Ethiopic. The First Book of Enoch, a Hebrew writing, for example, which had a great influence on New Testament thought and ideas, and is actually even quoted once in the New Testament, is preserved in its entirety only in Ethiopic. And only fragments exist in Hebrew, Greek and other languages.

    Many Gnostic manuscripts which preserve the history of early Christianity were preserved in African languages whereas they were lost and destroyed in other parts of the world.

    I get tired of hearing black people complain about what the “white man” is doing to them. Much of what is happenig is actually their own doing. In fact, Islam seems to be feeding into the African American culture of laziness and welfare society, much as Muslims in Europe are sapping welfare in that continent and then blaming all the ills of their society on native Europeans

    If Zanzibar want to pull out of the Union, Tanzanians should let them procceed because it will not take a year before their country collapses. The island is very small landlocked with virtually no activit except small scale tourism and fishing. They dependant uppon mainland tanzania for everything. why waste their energy and even burn churches demanding full autonomy?

    Tanganyika should let Zanzibar go. This is my obeservation. because zanzibar is a liability, and with their fundermetalism attitude, they needed to go yesterday for one then let them come back begging

    ReplyDelete
  24. AnonymousMay 28, 2012

    Mashaka you talking "RUBISH"

    ReplyDelete
  25. AnonymousMay 28, 2012

    john kaandika mada, leo nakaa hapa kusoma comments nivunjike mbavu. kesho nitasubiria majiubu ya dr. shayo na us. blogs

    ReplyDelete
  26. AnonymousMay 28, 2012

    ZITTO KACHAMBULIWA KISAWASAWA BILA YEYE KUELEWA. MASHAKA KATUMIA LUGHA ILIYOIVA. WAZUNGU WANASEMA, GIVE MAN CREDIT WHERE DUE....MASHAKA IS FUCKED SMART. KUMFANANISHA MASHAKA NA ZITTO KABWE NI SAWA NA KUFANISHA TOYOTA COROLLA NA MERCEDES BENZ. ZITTO NI MTU ANAYEROPOKA AKITAFUTA MISIFA. MASHAKA NI MSOMI MCHAMBUZI, TENA KIJANA MSTAARABU NA MAKINI SANA. MTINDO MZIMA WA ALIVYOANDIKA NA MTIRIRIKO WAKE, ZITTO HAONI NDANI. ZITTO KAZI YAKE KUBWA NI KUONEA WANYONGE. WENYE UPEO NA UJUZI KAMA MASHAKA ZITTO ANAYFYATA MKIA. KIJANA MASHAKA KAMNYANG'ANYA ZITTO SIFA ZOTE. NAPENDA SANA HII. AU ZITTO NDIYE US BLOGGER?

    ReplyDelete
  27. AnonymousMay 28, 2012

    lengo la kubadili DEMOGRAPHY ya zbar halitaenda bila gharama kama vile hakuna uzazi bila uchungu.

    ReplyDelete
  28. AnonymousMay 28, 2012

    MR. PREsident JK,
    tunaomba watu kama wakina mashaka ndo wapewe ukuu wa wilaya siyo wakina viki kamata. kijana anazungumza mambo hata maige alishindwa kuyatamka kipindi chote wizara ya mali alisi. mzee wa utepe haweki mikasi chini wakati ndo mtu wa pili kutoka juu kwa sababu tu ya muungano wakati kisiw chenyewe ni kiduju hata kuliko bagamoyo. nadhani mashaka kayasema yote. mniwie radhi lakini mashaka inabidi akagombee ubunge temeke

    ReplyDelete
  29. AnonymousMay 28, 2012

    nabii yohana mashaka. karibu sana nona umerudi kwenye jukwaa

    ReplyDelete
  30. AnonymousMay 28, 2012

    ZITTO usilazimishe kuingia kwenye anga ambayo siyo yako.ona jinsi ulivyoshushuliwa. wakina mashaka wamekuwa trained marekani. ukisoma hiyo makala yake ukalinganisha na yako utagundua kitu tofauti na usomi wetu.
    wewe piga kelele bungeni. wakina mashaka wawili wangekuwa bungeni wewe ungefunikwa. CCM inamleta tuone itakuwaje

    ReplyDelete
  31. AnonymousMay 28, 2012

    swalala udini ni swala zitto sana ummu nchini hasa kwenye taasisi za serikali. zitto kazunguka bila kuongea chochote cha maana. amekwepa tatizo la udini kwa maana yeye naye anatumia udini kule chadema. zitto tatizo la zanzibar siyo la mafuta au madaraka, tatizo la zanzibar ni la kidini ukubali usikubali kwa sababu hata na wewe ukibanwa chadema unatumiaga udini


    Zitto Kabwe ni mtu wa majigambo sana. Kwenye makala yake alijigamba jinsi wachumi walivyokuwa ni watu wenye hadhi kubwa UDSM. Kaendelea kusema kwamba katika darasa lao la watu 40,waliomaliza shule ni 40 tu.

    haya sasa leo leo kakutana na mchumi mwenzie ajitetee....

    Zitto kaenda mbali zaidi akisema kwamba mwalimu wake lwakatama ambaye ni mwalimu wa lugha alimheshimu sana. ila wametofautiana kwa mitazamo

    Naona mashaka naye kaja na mtazamo tofauti. Huyu ni mchumi mwenzio aliyetoka Duke University huko marekani na kufanya kazi Wells Fargo Bank. Wote wachumi vijana. Sababu hauna na wala hauwezi kujitetea tena. Mashaka kakuchambua kisawasawa bija jadhba. Umeonyesha jinsi upeo wako wa uchambuzi ulivyomdogo kwenye maswala ya kiuchumi na hata kisiasa

    Kama nimekosea mniwie radhi lakini sijawahi kusikia kwamba mashaka ni mwanasiasa? ila kwa jinsi alivyomshushua na kumchambua zitto, mtu hawezi kuamini kwamba uyu siyo mwanasiasa.

    ReplyDelete
  32. AnonymousMay 28, 2012

    wingi wa michango ni kionyesho cha UDINI kugusa wengi. Cha kujiuliza ni je sisi ni wakweli?

    Je tuko tayari kumasadia mtu wa dini nyengine asiwe victim wa UDINI?

    Miaka 50 ya uhuru bado waislamu wanaomba ruhusa kwenda kusali ijumaa na pengine hunynimwa na hukaa kimya wasifutwe kazi. shuleni ikitolewa ruhusa basi vipindi vinaendelea na waislamu huvikosa vyoote kwa miaka yote ya masomo. Usiniambie kwani lazima wasali? Nchi yenye isilamu takriban 40%.

    ReplyDelete
  33. AnonymousMay 28, 2012

    Mashirika kama Wellsfargo, Goldman Sacchs, Bank of America, JP morgan hayaokoti watu mtaani. Mashaka kuingia wolstreet ni lazima ametahiniwa sana na amepita huo mtihani. Kudos mashaka.

    ReplyDelete
  34. AnonymousMay 28, 2012

    SULUHU:
    1. ziondolewe alama za dini serikalini kama SALA ya bunge (sisi ni secular), mapambo ya krismasi, new year, na idi.

    2. Serikali iwaamuru watoa huduma watoe bila ubaguzi. Namaanisha huko shule za seminari za kikristo paonekane mwanafunzi mwisilamu asilazimishwe kwenda kwenye misa. asiruhusiwe mtu kubagua kama anataka kutoa huduma kwa uma.


    3. serikali ifuate sayansi na si ushauri wa viongozi wa kidini kama tunavyoona wakati wa chaguzi, dini zaja na ilani.

    4. serikali iwasaidie waislamu kupiga hatua kwani walichwa nyuma na adui yetu mkoloni aliyepandikiza chuki na mgawanyiko kati yetu. Tusiendeleze ujinga wa mkoloni, tusiwaache watanzania wenzetu nyuma kwa sababu ya imani yao wakati na kuwakejeli.

    Ona mfano wa USA inavyosaidia victims wa utumwa kwa fursa za shule na ajira (afemative aktioni)

    5, ...100 ziko nying.

    ReplyDelete
  35. AnonymousMay 28, 2012

    tatizo la zitto ni misifa. anatafuta sifa hata pasipo stahili. good job mashaka. hapa tanzania watu wanamuona mtu kichwa sana. kakutana na kichwa cha kijaluo. omera kiboko, kichwa kilochokula smaki toka ziwa victoria

    ReplyDelete
  36. AnonymousMay 28, 2012

    Zitto, hii ni yako. umepata kiboko yako mwaka huu.....

    Mr. Kabwe, you will agree with me that we are a generation that has been given so much, and so much is expected of us. We are expected to be wiser beyond our years; we are expected to be the supermen of our times, practically providing ideas and solutions to some of our most pressing needs and problems. We must therefore be very careful not to be swayed by the populist discourse. Our leadership skills must be unquestionable; we must be highly disciplined, keen and patient when handling issues this delicate. Else, we are going to brand ourselves as power hungry, selfish, and self centered humans that will stop at nothing in order to get public attention and sympathy

    Our public utterances may signal failure and perhaps be misinterpreted, igniting the unthinkable. Politicians from both sides of the union must exercise restraint on their public statements, as they continue with the dialogue without disguising their selfish agendas under the pretext of Union shortcomings, especially at this time when the constitutional review team is trying to address the long standing imbalances. We must earnestly discuss the underlying grievances to scatter the cloud of uncertainty above our heads.

    ReplyDelete
  37. AnonymousMay 28, 2012

    Halafu,mi nadhani kuna watu wanafikiria kwa kutumia masaburi (matako) yao,badala ya vichwa/ubongo!

    Hivi,unathubutuje kutamka kwamba Uamsho ndio waliochoma kanisa?! Au wengi wetu tumegeuka polisi wapelelezi? Kama hujashuhudia tukio,basi fumba 'kijaluba' chako hicho,kwavile huna haki ya kutoa tuhuma zisizothibitishwa. Mimi, naamini wengi wanawachukia Uamsho kwavile wanaongea ukweli na wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa kuwaelimisha waZanzibari kujua ni kwa jinsi gani wanatawaliwa na wakoloni weusi (waTanganyika), na ni kwa jinsi gani wakoloni hao,wanaimaliza Zanzibar.

    Nyinyi msiokuwa waislamu, mnapenda sana kutunyima haki na fursa sisi waislamu, lakini tukiinua midomo yetu au tukifanya tukio lolote, basi mnaanza kutupachika majina mabaya na kutuhusisha na vikundi vya 'kusadikika', kama mlivyofanywa kuamini hivyo na mabwana zenu waMarekani na wazungu.

    Na msidhani pia, kwamba, iwapo muungano utavunjika sisi (waZanzibari) tutakufa njaa,kwani kabla ya hata huo mvurugano wenu, Zanzibar ilikuwepo na tena ilikuwa ina uchumi mzuri hata kuliko nchi nyingi za kusini ya jangwa la sahara,ikiwemo Tanganyika.

    Tuacheni tupumueeeee........

    ReplyDelete
  38. AnonymousMay 28, 2012

    hii nchi inahitaji mashaka 10 na magufuli 10 tu. umasikini wetu utakwisha

    ReplyDelete
  39. AnonymousMay 28, 2012

    Huyu Mashaka inaonekana anachokisema hakifahamu au hasemi anachokifahamu

    ivi kwa mawazo yake ni kipi kati ya hivi ambavyo kwa namna moja au nyengine vimeweza angalau kudhibitiwa huko tanzania bara UDINI au UKABILA Naomba ataje angalau mkoa mmoja tu wa bara ulioweza kuuzima UDINI au UKABILA
    Na kusema eti kuwadhibiti viongozi wa wazanzibari wanaodai haki yao ya msingi ndio suluhu basi Africa ya kusini hadi leo ingekuwa chini ya koloni la makaburu au hata hii zanzibar isingekuwa na mdomo wa kuuliza kitu juu ya muungano kwani wale wote waliotangulia wakajaribu kuuhoji muungano wakati wa utawala wa mkono wa chuma either waliondoka duniani kiajabuajabu au waliihama nchi moja kwa moja lkn ukweli wa mambo unabakia palepale na c kwa chuki binafsi kama za huyu kijana mashaka anaefikia kuwaita ndugu zetu wa kipemba eti ni wa mujahidina kwanza aelewe wazi kwamba hii ni kauli ya ubaguzi ambayo hata kule Africa ya kusini walimfukuza uanachama wa ANC alokuwa kiongozi wa umoja huo kutokana na msimamo wake wa kuwachukia makaburu
    Sasa leo anakuja na lugha ya kuwakejeli na kuwapa majna ya ajabu eti kwa kuwa wanahoji uhalali wa muungano wa historia na si wa mkataba wala si wa kikatiba kwani hakuna ushirika usio na maandishi hata kama munaanzisha biashara ya kuuza nyanya pia inahitaji makubaliano je yeye anaesema analinda na kuudumisha muungano anaujua uliunganishwa kati ya nchi gani na nchi gani ?
    au anafikiri ukoloni uliondoshwa hapa nchini ki upuuzi tu na hakukuwa sababu za msingi?
    kwa kweli ndugu yetu mashaka ana mashaka ya uwezo wake wa kufikiri na kwamba yeye ni NDINI namba 1 na ndicho kilichomfanya aandae maelezo yake ya kipuuzi na mwisho naona huyu ni kati ya taskforce wengi waliosabazwa na freemason ili wawe wanawagombanisha wenyedini kwa manufaa yao

    Sasa basi Hili dubwana Mashaka halifai hata kuwa mfuasi wa shetani kwani yeye ni shetani kuliko shetani wa jehanamu na kama tutakuwa na wawili tu katika nchi hii bac haitofika hata mwaka tanzania itakuwa kama burundi
    Tukumbuke FOOL REMAIN TO BE FOOL EVEN IF HE WENT TO SCHOOL
    Tusiwe wajinga kama Mashaka tutakuja kuwa na taifa pekee la wajinga wakati ulimwengu una werevu watupu
    na yy aendelee kuwa mtumwa ktk nchi ya watu ambako weusi wanawindwa kama impala na cheetah halfu eti anazungumzia udini wa Tanzania

    ReplyDelete
  40. AnonymousMay 28, 2012

    Mimi ni muajiriwa wa kampuni ya Mwananchi. Ushauri kwa mh. Zitto, tafadhali usijaribu kubishana au kuleta malumbano ya aina yoyote na bw. mashaka. Muulize mhariri wa gazeti la NATION la kenya anayeitwa GITAU WARIGI. Anamkumbuka mashaka vizuri sana na ukiongea naye atakwambia jinsi mashaka alivyomshushua kwa kuhoji msima wa watanzania kwenye jumuiya ya Afrika mashariki. Jon mashaka is bad news. Usijaribu malumbano naye kabisa

    ReplyDelete
  41. AnonymousMay 28, 2012

    Zanzibar hakuna udini na wala ukristo si adui wa wazanzibar. Asilimia 99 kwa chini ya asilimia moja- uadui unatoka wapi. Bora waliosema waarabu wanataka kurudi Zanzabar wana mashiko. Usikariri dudu -"chambua mambo". Hata waliosema CUF ni chama cha udini (uislam) walikuza hilo kisiasa japo lilikuwa justified na waislam wengi hasa wa ukanda wa pwani kuingia CUF kwa ushabiki wa kidini. Tatizo la zanzibar ni Uuunguja na Upemba; sasa waunguja ni waislam na wapemba waislam- udini unatoka wapi. Wazanzibar walibaguana kwa "wale CUF wapemba" na "wale CCM waunguja". Lakini wote hawa ni waislam na hamuwezi kuwatoa huko kwani hicho ndicho kilichowaunganisha. Wanapotumia uislam wanapata support kutoka vyama vyote, ccm na cuf. SASA KWANINI WANACHOMA MAKANISA - NI VYEMA UCHUNGUZI UFANYWE KUJUA SABABU. Labda waliofanya hivyo wavivu wa kufikiri kama wewe mr. dudu. Wakristo waliopo zanzibar kwa uchache wao hawana nguvu ya kisiasa kuzuia jambo lolote litakalokusudiwa na waislam walio wengi hivyo, hakuna haja ya kuwabagua wala kuwatisha.

    ReplyDelete
  42. AnonymousMay 28, 2012

    Kuna mchungaji mmoja humu,sijui anaishi 'dunia' gani?! Eti anasema,hajawahi kusikia wakristo wakichoma misikiti n.k. Inaonekana huyu hasomi magazeti, wala kufuatilia habari za kimataifa. Kwa taarifa yako wakristo ndio wanaoongoza kuikashifu na kuikejele dini ya kiislamu na waislamu kwa ujumla. Wanafikia hata kuchoma moto qur-ani, tena kwenye incidents kibao. Hata hapa kwetu Tanzania yanafanyika mambo hayo. Halafu, kwanini mshikilie msimamo kuwa Uamsho ndio waliochoma kanisa moto? Hivi kuna mtu aliwaona?! Tunashindwa kuangalia upande wa pili wa sarafu. Kitendo kama hiki,kinaweza pia kufanywa na wale wote wasioitakia mema dini ya kiislamu, lengo na madhumuni yao ikiwa ni kuipaka dowa dini hiyo.Lakini pia, Mchungaji aliyechomewa gari lake, alidai kwamba, wamepata hasara kama ya tzs mil 120(kama sikosei), huoni kwamba hii inawezekana pia ikawa ni 'motive' kwa viongozi wa kanisa, katika mambo ya bima!

    Wachangiaji, ni vizuri kuchambua ishu critically na sio kupelekeshwa na chuki zetu za kidini n.k

    Wanachokidai waZanzibari ni cha msingi, msikidharau.

    ReplyDelete
  43. AnonymousMay 28, 2012

    SUALA LA MUUNGANO:

    Hakuna sababu kulazimishana kwa suala kama hili.

    Dunia nzima inatafuta watu kuungana ili kukidhi mahitaji ya Wananchi husika na kutatua matatizo kwa pamoja kwa njia nafuu zaidi.

    Pana tija zaidi kuwepo ktk Umoja ,Mfano Umoja wa Afrika ya Mashariki, Umoja wa Afrika ya Magharibi na Umoja wa Ulaya n.k.

    Sielewi hawa Wazanzibari wanaotafuta kuuvunja Muungano kweli wanakwenda na wakati tulionao wa nchi zote za Dunia zinavyotafuta kuungana?

    NADHANI HAKUNA SABABU YA KUWALAZIMISHA CHA MSINGI TUUVUNJE MUUNGANO ILI HAYA MATATU (3) HAPA CHINI YAFANYIKE KWA KUWA UNAPOTAKA MABADILIKO TENA KWA KULAZIMISHA NI VIZURI PIA UKAKUBALIANA NA MATOKEO NA CHANGAMOTO ZITAKAZO TOKANA NA MABADILIKO UNAYOYATAKA:

    1.WABARA WALIOPO ZANZIBARI WAONDOKE KURUDI BARA.

    2.NA WAO WA VISIWANI WAZANZIBARI WALIOPO BARA WAONDOKE ZAO BARA WARUDI KWAO ZENJI WASIFIKIRI KWA UPENDE MMOJA WA KUWATAKA WABARA WATOKE KWAO TU, WAELEWE KUWA KAMA WANATAKA WABARA WAONDOKE ZENJI NA WAO WAONDOKE BARA WARUDI KWAO ZENJI.
    -----------------------------------
    TATIZO LAO KUBWA HAWA WATU WA ZANZIBARI NA VISIWANI WANAMTAZAMO YA KUWA WAO WANAYO HAKI YA KUISHI BURE NA MUSTAREHE HUKU BARA NA HUKU WAKIWA HAWATAKI WATU WA BARA KUISHI KWAO ZENJI, YAANI WANA ILE KITU (i)''''CHANGU CHANGU NA CHA KWAKO PIA CHANGU'''

    (ii)''''BANIANI MBAYA KIATU CHAKE DAWA''''

    WANAO ULE MTAZAMO MGANDO KUWA WAO WATAENDELEA KUKAA BURE HUKU BARA HATA KAMA MUUNGANO WASIOUTAKA UKIVUNJIKA,

    KAMA NI HIVYO KWA NINI WAWEPO WENGI WAO WAKIISHI NA KUFANYA SHUGHULI ZAO HUKU BARA?

    KWA NINI WASIDAI KUUVUNJA MUUNGANO HUKU WAKIWA KWAO ZENJI HUKU BARA HADI SASA WANANGOJA NINI?

    -----------------------------------

    3.BAADA YA KUUVUNJA MUUNGANO WAO WAZANZIBARI WATAFUTE WA KUUNGANA NAO KAMA WATATAKA WAUNGANE NA NCHI ZA KIARABU ZENYE MAPINDUZI NA MAANDAMANO YA 'ARAB SPRINGS' NA MACHAFUKO KIBAO WAONE KAMA ITAWEZEKANA KWA KIPINDI HIKI.

    ReplyDelete
  44. AnonymousMay 28, 2012

    mashaka is extremely wise. haya ndo maneno ambayo tunastahili kusikia. ila serikali yetu ndio chimbuko la udini

    ReplyDelete
  45. AnonymousMay 28, 2012

    Huyu Mashaka hasa, just like his namesake. Ah maskini Zanzibar, ndio mwisho tena wameshaivuruga na hao mnaowaona wanapiga mawe ni result ya ubaguzi sio tu wa kidini, wa kikabila, kifikra. Allah atatusahilishia. Siku hizi watuwanasafiri kutoka bara weekend kwenda kusali katika makanisa zanzibar ambayo hayana watu. Hili nimeambiwa na msichana wangu wa kazi, ambaye anakanisa dada huko zanzibar ambapo anaaga kwenda kusali huko weekend. Kuna ajenda ya siri katika huu muungano na sio kwamba haujulikani unajulikana wala sio wa kisiasa, kiuchumi zaidi ni wa kidini. Nia ni kuivunja ngome ya uislamu zanzibar, evidence zipo.

    ReplyDelete
  46. AnonymousMay 28, 2012

    There is big difference in terms of discourse between Zito and Mashaka, Zito is let say economist, therefore, his explanations are more concerned with economic asects such as gas and hoe this gas can be dealt with, while Mashaka is politician whose concerns are fairness in distribution of resources and leadership position. Therefore, the two of them cannot be discussed under same umbrella. It is true that there is misunderstanding in some points of union agreement between Tanganyika and Zanzibar some time because it is very old agreement where some matters were not even known that the will have significance economically and politically.

    However, Mashaka has to be very carefully when using words such as Udini, religious fanatic, short slighted, self-cantered politicians who will stop at nothing to score political point.

    Standing at a very wrong side of history when udini deeply entrenched in the fabric of our society.

    These are not true characters of Muslims as mr Mashaka trying to potray. Islam has been part of Tanzanian history and to be specific Zanzibar at the very begining of Tanzanian history and the the contributions of Muslims in Tanzania history is not the one to be undermined under any circumstances. Otherwise Mr Mashaka himself will complicate the matter instead of solving it. Am trying to find a platform where I will able to discuss the matter with mr Mashaka extensively.

    ReplyDelete
  47. AnonymousMay 28, 2012

    Asante Mr Mashaka, Tunashukuru kwa makala yako nzuri.
    Mambo yote yanasababishwa na udini.
    Muungano ukivunjika watakao athirika zaidi ni Zanzibar.
    sababu ziko nyingi ila Zanzibar kimazingira ni eneo la Tanganyika kama unavyoona Mafia n.k.
    Biashara ya utumwa ndiyo imetufanya tukachanganya damu na kuwa na kizazi cha Wazanzibari.
    Kwa hiyo wazanzibari wakijitenga na WaTanzania watajikuta wako wenyewe na wamerudi utumwani kwa kitendo cha kuwatenga ndugu zao.

    ReplyDelete
  48. AnonymousMay 28, 2012

    Mweeeee wakurya wakitoka tu kidogo kwenda Kenya hata walinzi wanawasemesha kwa kiswahili. Sasa nyie mlioelewa muktadha huu wa Mashaka tunaomba mtutafasirie siye akina pangu pakavu. Msikae kumsifu kwa uchoyo wake wa mawazo! Jana miye nilisoma na kuyaelewa ya Zito; ila haya ya Mashaka yameninishinda, maana naona kama bado ana chembechembe za ukoloni kichwani. Anaweza kuwa nguli lakini kwa lugha ya kukopa! akha, laah abadani asilani sikubaliani naye!!!!

    Naomba tafasiri tafadhali.

    ReplyDelete
  49. AnonymousMay 28, 2012

    STOP RELIGIOUS INFLUENCE IN THE GOVERNMENT.

    Wimbo wa taifa ni wa kidini na uliandikwa na kiongozi wa kidini. Bunge lina sala wakati nchi ni ya kiseckyula unatarajia nini hapo?

    Kujidai wasekyula kumbe tunafuga dini serikalini.

    ReplyDelete
  50. AnonymousMay 28, 2012

    MASHAKA:

    Mapendekezo yako yanatibu matokeo siyo chanzo cha UDINI.

    Hata kuandika kwako kumesukumwa na matokeo ya tatizo na si tatizo lenyewe kwani lilikuwepo muda mrefu na huenda ulikuwa miongoni mwa wanaokana kuwepo tatizo. Ndiyo umeamka sasa hivi, kwa sababu upande wako umeguswa.

    ANGALIA CHANZO.

    Kuwepo ubaguzi ulodumu bila sheria kikatiba kuutiba.

    Kwa sababu we unataka kuondoa matokeo basi ujue mbegu na mizizi vitabaki.

    ReplyDelete
  51. AnonymousMay 28, 2012

    MUUNGANO kama NDOA:
    KUVUNJA MUUNGANO kama TALAKA:

    Ni udhaifu mkubwa kwa 'Mwanaume Mweusi/Mswahili' unapoombwa Talaka na 'Mwanamke' ukakataa tena mbaya zaidi 'Mwanamke' anapo dhania kuwa pana mwanamume mwingine anayestahili zaidi ambaye ni 'Mwarabu' !

    NI HERI NA MAPEMA KUTOA TALAKA! BILA YA HIVYO MWANAMKE ANAWEZA (KUTOKA NJE YA NDOA AKAENDA KWA SIRI KWA MWARABU) NA KUISALITI NDOA!!!

    ReplyDelete
  52. AnonymousMay 28, 2012

    Naomba kutafsiriwa kilichosemwa tafadhali

    ReplyDelete
  53. AnonymousMay 28, 2012

    Hapo ndo ujue mifumo yetu ya elimu haituelimishi. Sasa u-genious umetoka wapi, kwa kuandika kizungu kizuri au? Ndugu zangu ieleweke kuwa si lazima kila mtu awe mwanasiasa kama mbunge n.k. Kwa nini asiwe mwalimu?

    ReplyDelete
  54. AnonymousMay 28, 2012

    Natamani ingekuwa umechomwa msikiti nione hali ingekuwaje nchi nzima ila wakristo nanyi ni wapoleeeee mmepitiliza mbona hamjaandamana? make najua ingekuwa msikiti leo pasingekalika nanyie mjifunze kuandamana bwana au mko busy sana ati? bora mi sina dini haa haa kama kingunge

    ReplyDelete
  55. AnonymousMay 28, 2012

    wanaumshifu mashaka ni pumba tupu haka tana walo tafauti na mila na desturi na diya ya wazanzibari,mnafikiri watu bado wamelala, mnafikiri watu bado wanataka kubatizwa kwa kilo za dona, wacheni uwandawazimu wenu,kanisa limechomwa kwa sababu si yo tunauchukia ukiristo tungekuwa tunauchukia basi mbona katika quran yetu tukufu ametajwa yesu.
    Tatizo ni kwamba ufisadi unapitia through kanisa na kwa nini tushikiliye huu munganano KARUME toka mwanzo amesema ni kama koti akisikia jotu tuvue na siyo tu tunasikia joto hivi sasa ile unatubana huu muungano hatuutaki wala hatutaiki muafaka.

    kuna mdaau kasema eti misaada inatoka uarabuni basi mbona kasahau misada minginewe inatoka vatikan na marekani na mabara ya ula kukuza ukirisoto na kila leo serikali inawapa posho katika kila budget yake inayokaa.

    msituletee pumba hapa mkadhani watu hawajasoma au hawafikiri kwa kina ila tu kina mashaka mcharwa mchwra weee wee hatutaki kabisa kuchezewa kama watoto wadogo,

    MUNGANO UFE UFEE,KWA NINI HAMTAKI UFEE SI MNAFAIDIKA NAO MNAWANYONYA WENZENU TUU.

    NA WEWE MASHAKA USIJANYE KUJUA KIZUNGU SANA UNGE ANDIKA MAKALA YAKO KWA KISWAHILI ILI JAMIII YOTE YA KITANZANIA UOSOME UELEWE NDO TATITO WALIOKUWA DINI TAFAUTI WANAJIFANYA WAMESOMA HALAFU WENZAO WAKO PUMBA KUMBE UHURU UMEGOMBWANIWA NA HAO HAO WALIO KUWA PUMBA, CHAMBUENI VIZURI BABA WA KANISA ALIKUWA AMESAIDIWA KUFIKA IKULI KWA NGUVU ZA WAISLAMU NA MKOLONI HAJATAKA WAISILAMU WATAWALE NCHI WEWE SOMENI HISTORIA MSITULETE UJINGA HAPA

    MICHUZI CHAPA CHAPA HII COMMENT USIPOCHAPA NA WEWE TUNAKUJUA NDO WALE WALEEEE KARAGA BAO

    MDAU SWITZERLAND

    ReplyDelete
  56. AnonymousMay 28, 2012

    JOHN MASHAKA UDINI ZANZIBAR? ARE YOU SERIOUS? UNAWAJUA WAZANZIBARI AU UNAWASIKIA?

    WAZANZIBARI HAWAKUPEWA UHURU WAO KWENYE SAHANI KAMA TULIVYOPEWA SIE.

    WAZANZIBARI WALIKUWA MBALI KIUCHUMI KULINGANISHA NA SIE.

    Unajua kuwa Zanzibar ilikuwa nchi ya mwanzo Afrika Mashariki na pengine hata Afrika kuwa na TV station ya serikali yenye rangi wakati sisi wala hatukuwa na hivyo vitu. Kiuchumi walikuwa mbali sana.

    Udini ndio uliomfanya Nyerere aunganishe Tanganyika na Zanzibar kwa hofu ya kukua kwa uislamu, ili kuithibiti uislamu. Sasa nani mdini hapa ni Wazanzibari au Nyerere?

    Na kwanini tuwang'ang'anie Wazanzibari kama hawataki muungano? Mbona Sudani ya Kusini imeruhusiwa kujitenga na kuform Sovereign state wakati ilikuwa sehemu ya nchi ya Sudani na hamsemi kuwa ni UDINI?

    IWEJE LEO ZANZIBAR WATAKE KURUDISHIWA SOVEREIGNITY YA NCHI YAO MUSEME KUWA NI UDINI wakati Zanzibar kuna makanisa yana zaidi ya miaka 100 huko.

    Nachelea kusema kuwa sioni huo ujinias wako watu wanaokusifia ikiwa unashindwa kutambua kuwa Wazanzibari tangu enzi ya ABOUD JUMBE walikuwa wakitaka nchi yao na kipindi hicho hata hayo makanisa ya walokole Tanzania hayakuwepo seuze Zanzibar. Kifupi hoja hiyo ndio iliyomtoa Abdu Jumbe madarakani na akawekwa under house arrest pale Kigamboni mji mwema na Nyerere. Lete hoja nyingine ya msingi kwa sababu hii eti hawataki muungano kwa sababu ya udini imefeli, utawafurahisha hao hao wakristo wenzio lakini sio sie.

    SIELEWI MNAONA TABU GANI ZANZIBAR IKIWA NCHI KAMILI IKAUNGANA NA SISI KWA BAADHI YA MAMBO MENGINE KAMA ELIMU NA RESOURCES WAKAACHIWA WENYEWE. KWANI NI LAZIMA HUU MUUNGANO UBAKI KAMA ULIVYO BILA KUREKEBISHWA?

    ReplyDelete
  57. AnonymousMay 28, 2012

    Ndugu mashaka i just im ugandana tanzania born in uganda to a ugandan father and tanzania mama nilisomea shule ya msingi and baadaye nirudi uganda mwaka 1983 nikiwa kijana na kujiunga na mzee museveni nimepigana vita ya kumtowa obote na miaka ya 1990s mpaka 1998 nilipopumzika jeshi nimeona vita ya rwanda 1994 1997 mpaka 1999 nimeona kwa macho yangu yaliyotokea congo ninachosema wajomba muungano wa mwalimu na karume ulikuwa na nia nzuri na kama kuna makosa yaliyotokea waliopo wanapashwa kukaa chini na kuyarekebisha sasa hivi watu wamesoma na tanzania ya leo siyo ya miaka ya 70 au 80 naomba sana wajomba zangu na wanasiasa wa tanzania muache kuleta udini au ukabira ni ujinga na upumbavu kwa mwanasiasa kuikiria dini au kabira mimi nimeona najuwa maaana ya vita najuwa maaana ya kumwaga damu vita ya amini pekeehe ilileta mazara makubwa sana kwa tanzania je vita ya dini au ukabira itakuwa vipi nawaomba sana watanzania waopiga kelele wa cccm au chadema nataka muende somalia ndio mtajuwa vita nini na ukabira nini muache kabisa udini na wala ukabira kiongozi anayeletaudini au ukabira tanzania ni adui watanzania na kiongozi anayetaka muungano usiwepo huyo sio mtanzania bali kaburu na ni adui mkubwa kabisa muungano ni lazima urindwe kwa mali na damu ila urekebishwe ili kira sehemu iwe na amania na maendeleo kwa watu wa pande zote mbili bwana mashaka naomba uigihe kenye bunge sababu mimi mwenzio najitayarisha kuingia kwenye bunge letu uganda mwaka 2016 muungano ni lazima urekebishwe ilausivunjwe,
    yusef

    ReplyDelete
  58. AnonymousMay 28, 2012

    sijawahi kumshabikia mashaka hasa watu wanapomuita kila aina ya jina, nabii, profesa, giniaus, rais na matakataka mengine nimekuwa nikikereka sana kwani nilimuona ni kama mtu ambaye ambaye anajenga kundi kubwa la wafuasi na hatimaye kuja kulewa misifa kama mhaya mwenzake zitto, ila leo nakiri kwamba mashaka kweli ni kijana wa kipekee. lazima nikiri kumkubali kutokana na uwezo na uhodari alouonyesha kwenye haya makala yake ya kusisimua. ufundi wake wa lugha na kujenga hoja ni wa hali ya juu na ingekuwa vyema zaidi serkali yetu ingejaribu kuwavuta vijana kama hawa wenye vipaji kurudi tanzania na kushiriki katika ujenzi wa taifa. huyu kijana anaweza kuwa chachu nzuri sana ya uongozi na uadilifu. ni mawazo yangu tu

    ReplyDelete
  59. AnonymousMay 28, 2012

    hii itakuwa ni ngumu sana kwa zitto kwa maana zitto amezoea kumwagiwa misifa. kukutana na nguli anayemsimamia bila kupiga hatua moja nyuma itampa wasiwasi. nina imani zitto atakuwa mwangalifu sana siku za mbeleni kuandika chochote akihofia wakina mashaka kumuweka sehemu yake. zitto bro, punguza kutafuta misifa. ungozi siyo kujenga ufuasi, ni kuwa na busara. ila hapa mashaka katuonyesha uwezo wako ulipofikia. mwiteni huyu chadema ili asiwe mwiba kwenu

    ReplyDelete
  60. AnonymousMay 28, 2012

    kwa kweli zitto inabidi ujipange vizuri. nadhani kipindi chote zitto aliamini kwamba hana mpinzani ila hii ya mashaka imemuamsha usingizini. mambo ya kuleta kujua kila kitu ndani ya CDM itakuwa imekwisha kwa maana mtu kama mashaka akija huku kwedu kwenye pipo pawa, ustaa wa zitto utakuwa umemwagiwa maji. mashaka umegonga msumari wa mwisho juu ya jeneza. zitto sasa itakubidi kushirikiana na wabunge pamoja na viongozi wengine ndani ya chama chetu. ulijiona makini sana, sasa umekutana na watu makini zaidi yako

    ReplyDelete
  61. AnonymousMay 28, 2012

    wazanzibar hamna lolote mnatafuta njia nyingine ya kuomba aslyam nchi za watu. MLIPIGWA VIRUNGU Kipindi cha Mkapa mkakimbiLIa nchi za watu mmejaa tele UK Mlishtukiwa mkaanza kujidai wasomali sasa mmeshtukiwa tena hamna chochote mnatafuta chokochoko nyingine mpigwe virungu. Wacheni ujinga fanyeni kazi nyie kazi wacha kupiga bao na kusema majungu. kama kweli mna hasira kwa nini msiende kuchoma ofisi za serikali mnaenda kuchoma makanisa?? MUNGU IBARIKI TANZANIA

    ReplyDelete
  62. AnonymousMay 28, 2012

    INDEED mashaka has displayed a high level of rhetoric as some describe him as the rhetoric master. How do you tolerate people who do not return the favour ?
    There is no such thing as a liberal progressive Islam anywhere - look at "moderate" Turkey, where a writer has to flee after falling foul of blasphemy laws by proclaiming himself an atheist on twitter, where the numbers of Christians have dwindled to almost nought, and a 14 year old girl in Anatolia is buried alive by relatives after talking to a boy ; Indonesia, where young punks are publicly shamed and their hair shaved because they are "un-Islamic".
    Freedom of conscience, freedom of religion, women's equality - these are all threatened by sharia law which is a political ideology (there is no separation between religion and politics, between the temporal and the spiritual in Islam) totally opposed to liberalism. A significant number of Muslims in the west support sharia and advocate gender apartheid. Niall Ferguson said the growth in Muslim immigration is like importing Communists into the West at the height of the cold war - and for Communism, read Salafism, the radical Islam out of Saudi Arabia which is on the march. zanzibaris have to think their position in the union. we cannot tolerate their burning of churches. they are not tolerant people. and zitto, please for your political survival stop forcing fame. you are going to be exposed by the likes of mashaka. i find it quite interesting to read his commentary which is well crafted compared to yours that is so shallow. you must learn the trade of language and composition. you are still amateur compared to these western educated mashaka group

    ReplyDelete
  63. AnonymousMay 28, 2012

    I respect all that Mashaka has said, but I would like to caution him on only one thing.
    Burning of churches.
    He put it as he is 100% sure he KNOWS who set the church on fire. The coin has two sides, suppose (which is a possibility) this House of worship was set on fire by the other side? Let us not be assured of something which has not been proven guilty. There is a possibility that this House of worship was set on fire by the other side in order that the said are given a bad name (as already is). It has happened before in Pemba, dirty politics, the upper hand did unspeakeable things and the bad name went to the less privileged group. Schools were smeared with feaces and water wells contaminated with feaces. Pemba people wondered 'how possible? our children attend these schools, we use these water wells for everyday use, how possible could we do such acts?'. The matter was never probed. Let us (if we are serious) probe this Church burning and we'll get the truth. Almost all of us in here are 'convinced' or for that matter know who set the Church on fire, the opposite could be true as well. It could be very funny and unjust. Is it not that someone is innocent until proven guilty? for something senstive as THIS, why are we carried away and forget this basic stand to humanity?

    ReplyDelete
  64. AnonymousMay 28, 2012

    kwa kweli zitto inabidi apunguze mbwembwe zake.kwenye swala la zanzibar alichemka sana, na watu kama hawa ndio viongozi wetu, basi hatima yetu siyo nzuri kama taifa. siku zote amekuwa akijiona mtu asiye na mpinzani kakutana na namba mbaya atalia udini na yeye??

    ReplyDelete
  65. AnonymousMay 28, 2012

    MIMI NAANZA KUWA NA WASIWASI KUWEPOM KWAKE HUYU MASHAKA.MADA ZOTE NZURI HUMU IWE NI MASHAKA. LUGHA STAHIKI NI MASHAKA, BUSARA NI MASHAKA. TANGU BLOG YA MICHUZI IANZISHWE, MADA YOYOTE ANAYOTOA MASHAKA INACHANGIWA NA WATU UTAFIKIRI WAMECHANGANYIKIWA. HAKUNA KITU KINGINE CHOCHOTE KILE KINACHOCHANGIWA HUMU KAMA MADA ZA MASHAKA. NA HII INANNIPA WASIWASI KUAMINI KWAMBA MASHAKA NI UBUNIFU WA MICHUZI MWENYEWE KUCHANGAMSHA GENGE NA KUVUTIA WASOMAJI ZAIDI KWENYE BLOG YAKE. MASHAKA NI MTU FEKI ALOTENGENEZA MICHUZI KUCHOKONOA HISIA ZA WATU KUHUSU MADA TOFAUTI. MASHAKA NI MTU MWNEYE KIPAJI CHA KIPEKEE, WENGINE WAMUITE GINIAS, WENGINE NABII, WENGINE WAMUONE KAMA MKOMBOZI, MAKINI, MWENYE BUSARA MKARIMU LAKINI HAKUNA MTU AMBAYE WAMEWAHI KUMUONA. MASHAKA KAJENGEWA UMAARUFU MKUBWA BILA YEYE KUJITOKEZA MBELE YA JAMII IWEJE HUYU7 MTU MMOJA NDO HAWE GUMZO KILA SEHEMU NA HAKUNA HATA MTU MMOJA AMBAYE AMEWAHI KUMUONA. NINA WASIWASI NA MICHUZI. HAKUNA MTU MMOJA ANAYEWEZA KUWA NA AKILI NYINGI HIVI ZA KUWEZA KUGUSA WATU. HUYU MASHAKA NI MICHUZI NA WAANDISHI WENZAKE HUKO DAILY NEWS. YETU MACHO TUNASUBIRI SIKU MICHUZI ATAKAPOFUNGUAK NA KUKIRI KWAMBA YEYE MWENYEWE NDIYE YOHANA MASHAKA

    ReplyDelete
  66. AnonymousMay 28, 2012

    THRE IS NOTHING LIKE MASHAKA I SAID IT. MASHAKA NI JIN LILILOTENGENEZWA NA WANA USALAMA KUKUSANYA MAONI YA RAIA KUHUSU MASWALA MAZITO HUMU NCHINI MSITUCHEZEE AKILI. NO HUMAN BEING CAN BE THAT SMART. MNATUCHEFUA

    ReplyDelete
  67. AnonymousMay 28, 2012

    I highly respect mashaka with his learned observations.he is indeed making us proud as a nation. even mashaka has not declared his political interest, I advise him to join Dr. Slaa and commanda mbowe. I must say that mashaka is going to be one of the history makers in this country of ours. Uh...at this point in time there's nothing in Islamic dogma to tolerate, not the misogyny, bigotry, sexism, celebrating and condoning martyrdom or it's own extraordinarily extreme intolerance of all things not Islamic. They insist their own beliefs deserve attention and consideration above all others, including those of their host country or culture. Until some sort of reformation takes place, it's the planets most dangerous plague.As someone said, who are the moderate voices of Islam? What are their names? Where do they live? Is this media age we'd all know their names, if there were any. And if there are, they, too, are too afraid to have their voices be known, lest they be killed in the name of Allah.Tolerating Islam today is like being a Natzi or Apartheid apologist. if leaders in the side of zanzibar can not control intolerance, then the Zanzibaris needs to go. They are mooching us

    ReplyDelete
  68. AnonymousMay 28, 2012

    Nahisi wengi mnashabikia hicho Kiingereza zaidi ya kinachoelezewa. Bwana Mashaka anaelezea porojo za kila siku na kimsingi amerudia baadhi ya mapendekezo ya Mh. Zitto kwa lugha ya Kiingereza tu. Mh. Zitto anaeleza vitu vya msingi kufanyika. Pengine vitu alivyoeleza Zitto ni vya Kiufundi sana kwa mtu kuelewa haraka. Hajakurupuka kuzungumza ndio maana chini akaweka Declaration kwamba anajua anachozungumza. Udini is one issue na mafuta na rasilimali zingine is another issue. Udini unatumika tu, mvutano ni Rasilimali. Ni vizuri tukafanya uchambuzi yakinifu na sio kutafuta 'Individual Glory' zisizo na msingi. Mkifuatilia fukuto la Kenya na Mombasa Republican Council (MRC) mnaweza fananisha na suala la UAMSHO. Kama mtakua na 'open-mind'

    ReplyDelete
  69. AnonymousMay 28, 2012

    Nyie munadandia mambo musoyajua tuuu, kwanza Uamsho wameshafanya maandamano mengi bila ya kanisa lolote kuchomwa iweje leo tuu? lakini wanachosema Uamsho si wanataka kura ya maoni kuhusu Muungano? nyinyi munaogopa kitu gani?
    Halafu Mr John unanichekesha sana, hemu someni vizuri historia ya Muungano wenyewe, CIA katika report yake wamesema wazi kuwa wao ndio waasisi wa Muungano wakimtumia kibaraka wao, nyie munamwita Baba wa Taifa, baada Kenyata kukataa muungano na znz, wakamjia huyo kibaraka wao, acheni kasumba zenu mulolishwa toka skuli, hahahahaaaa zidumu fikra za mwenyekiti

    ReplyDelete
  70. AnonymousMay 28, 2012

    Mashaka ameongelea hatari za UDINI Zanzibar, Zitto ameongelea mgawanyo wa mali asili na namna ya kuhakikisha tunavuna na kufaidikia na kugawana vizuri pande mbili za muungano. Kwa hiyo Mashaka kimsingi hajamjibu Zitto ingawaje kichwa chake cha habri kinadai hivyo!

    Ikumbukwe kwamba Zitto ameandika kabla ya kanisa kuchomwa na Mashaka ameandika baadaya kanisa kuchomwa.

    Mashaka ni mzuri kwa literature, na wale tuliosoma James Hadley Chase, Robert Ludlum, Ngugi wa Thion'o n,k na sasa Magazines kama Times na Newsweek unaenjoy literature, lakini sio content all the time.

    David K

    ReplyDelete
  71. AnonymousMay 29, 2012

    Somebody said Zanzibar is "landlocked". Read Zanzibar history, Huyu mmarekani ndio mapandikizi wenyewe hao. haijui history ya zanzibar anasema iko 'landlocked' wa Portugese walitoka ulaya even before American was discoved walijenga old fort zanzibar, wakati waliikuta nchi imeshamiri biashara. Mbona hawakuijenga TABORA au MOSHI? American are the stupidiest people on earth. Google on supidity of Americans and listen to what yo fellas's stupid things. They dont even know the history of their own country.

    ReplyDelete
  72. AnonymousMay 30, 2012

    Kama wangepewa watanzania wangepewa fursa ya kujajili umuhimu wa kuendeleza muungano ugomvi haungetokea. Naona maajabu watu kufikiri ni muungano na kumiliki kwa pamoja raslimali za pande mbili za muungano pekee vitawezesha mahusiano mazuri na mafanikio pande pili za muungano. Ukweli ni kwamba Pande mbili zikijitenga mahusiano yatakuwa mazuri zaidi na raslimali za pande mbili za muungano zitakuwa na manufaa makubwa zaidi kwa pande zote mbili.

    Hizi fujo zilizotokana na hisia za kidini zimetokea pengi duniani ampapo waislamu ni wengi kuliko wakristu kwa hiyo madhehebu mengine yakijiondoa Zanziba itakuwa ni busara.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...