Katibu Mkuu wa Wizara ya Kazi na Ajira, Bwana Eric F. Shitindi (kushoto) na Mhe. Zayed bin Rashid Al-Nayemi (kulia) ambaye pia ni Mkurugenzi wa Idara ya Mambo ya Amerika katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Qatar wakitia saini Mkataba wa awali wa mashirikiano katika masuala ya ajira baina ya nchi hizo.
Wajumbe wa Serikali ya Tanzania na Qatar wakiwa katika kikao cha mashauriano kabla ya kusainiwa kwa Mkataba wa awali wa mashirikiano katika masuala ya ajira baina ya nchi hizo.
Picha ya pamoja ya Wajumbe wa Serikali ya Tanzania na Qatar walioshiriki katika kikao cha mashauriano kabla ya kusainiwa kwa Mkataba wa awali wa mashirikiano katika masuala ya ajira baina ya nchi hizo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. braza michuzi naomba ufafanuzi wa kina kuhusu huu mkataba wa ajila, yaani watanzania ndo watapata fursa za kufanya kazi qatar au nikuwka urahisi kwa raia wa qatar kufanya kazi kwenye makampuni yao nchini tanzania?

    ReplyDelete
  2. Yale yale wako kwenye mikutano.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...