Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akibadilishana mawazo na Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa jijini Dar es Salaam leo (Jumatano, Jan 16, 2013). Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo Mstaafu leo jijini Dar es Salaam ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.
Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa (kulia) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani (katikati) na Dkt. Salim Ahmed Salim. Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo Mstaafu leo (Jumatano, Jan 16, 2013) jijini Dar es Salaam ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.
Rais Mstaafu Mhe. Benjamin Mkapa (kulia) akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Mkuu Mstaafu Augustino Ramadhani (katikati) na Dkt. Salim Ahmed Salim. Wajumbe wa Tume walikutana na Rais huyo Mstaafu leo (Jumatano, Jan 16, 2013) jijini Dar es Salaam ili kupata maoni na uzoefu wake katika uandishi wa Katiba Mpya.

Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Cleopa Msuya akiongea na Wajumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba kuhusu mchakato wa Katiba Mpya leo (Jumatano, Januari 16, 2013) jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mwenyekiti wa Tume Jaji Joseph Warioba.
raisi mstaafu alivosimama katikati ya wenzake inanikumbusha kuleee kama anaimbwa"KASIMAMA PEEEEKE YAKE , ANAONYESHA UTUNDU WAKE"
ReplyDeleteWarioba ana mwili mzuri sana,kila ninapojaribu kuwaangalia viongozi wetu wawe wastaafu au wale waliobaki serikalini wakitumikia jinsi wanavyoitukuza miili mikubwa sijui hawana washauri wa afya maana ni hatari mno jamani.
ReplyDeletehivi mwisho wa kutoa maoni ni lini? kila siku maoni maoni, wapi vitendo?
ReplyDeletetuwe wakweli jamani,hawa viongozi wote wastaafu watapenda kuona Katiba Mpya "itakayo walinda wao" katika maisha yao yaliobakia hapa duniani!kuwauliza kuhusu michango na mawazo yao,ni kuwapa "mzigo usiobebeka!".what should we expect from these retirees,to be honest?
ReplyDeleteningekuwa na mwili kama wa waryoba sawa!
ReplyDelete