Home
Unlabelled
Mambo ya Kumeremeta Kijiji cha Muhoro,Mkoani Lindi
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
Ni Muhoro na sio kama ulivyoandika!
ReplyDeleteAsante mdau umenikumbusha mbali,nilipita barabara hiyo mwaka 2009.Bahadhi ya vijiji ninavyovikumbukuka majina hivi hapa;Mavuji,Sinza,Kiranjeranje bila kusahau samaki wa kukaanga pale Nangurukulu.Nitarudi tena nikipata nafasi.
ReplyDeleteDavid V
Soo humble yet much blessings; hakuna budget ya milioni 50 hapo.
ReplyDeleteuvunjaji wa sheria wazi wazi, hata maharusi mshikaki?
ReplyDeleteHawa Mademu Mamodo na Mamiss wa Kimjini mjini humpandishi Boda boda kwenye Harusi!
ReplyDeleteAhhh maisha tunatoka mbali!
ReplyDeleteHapo baadae bibe anaanza kuleta mapozi wakati akijua siku ya harusi alipandishwa boda boda lakini leo anadai maisha ya juu.
Kijini dispilini!
ReplyDeleteHapo kwa Kijijini Bodaboda ni kama Range Rover Vogue V-8, au Mercedes Benz SE500!
Demu anakubali mwenyewe kukwea Boda boda kwenye Harusi?
So funny in deed!
ReplyDeleteyaani hao hapo kwa village ni matawi ya juu. kina wengine ni baiskeli au kwa mguu
ReplyDelete