Mratibu wa Kikundi ya HABARI Group Bi.Rabia Bakari akikabidhi risara ya kikundi hicho kwa Mgeni Rasmi,Mh. Balosi Khamis Kagashekiwakati wa uzinduzi. |
Wana kikundi cha Habari Goup wakijitambulisha mbele ya mgeni rasmi. |
WAANDISHI WA HABARI WA VYOMBO MBALIMBALI VYA HABARI AMBAO NI WANACHAMA WA HABARI Group |
WANACHAMA WA HABARI Group WAKICHEZA KWA SHANGWE |
Waziri wa Maliasili na Utalii Balozi Khamis Kagasheki kushoto akiangalia baadhi ya dokomenti picha na Burudan Blog. |
Hongereni sana, sasa priority itakua ni nyinyi kujikwamua kimaisha au kusaidia jamii isiyojiweza. Am just curious wapendwa msikasirike.
ReplyDeleteMaana mnaonekana wote mna njaa na mnazitolea macho hizo hela.
Otherwise all the best,hiyo group idumu asije mmoja akawazidi wengine akili, ikawa harambee ya kwanza na ya mwisho.Maana tunawajua hiyo jinsia hamkaagi chungu kimoja.
Mratibu umependeza kweli, Mheshimiwa Zitto kachangia kiasi gani safari hii. Au hii haimuhusu, Kwikwikwi.......teh teh teh.
ReplyDelete