Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana na Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, nape Nnauye wakiingia katika Uwanja wa Mkutano wa hadhara wa Kiwanja cha Ndege, mjini Morogoro, leo
Baadhi ya maelfu ya wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara wa CCM kwenye Uwanja wa Kiwanja cha Ndege wa mjini Morogoro, wakimshangilia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipowasili Uwanjani hapo
Umati ukiwa umefurika kwenye mkutano wa CCM uliofanyika leo April 21, 2013 kwenye uwanja wa Kiwanja cha Ndege wa mjini Morogoro
katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akihutubia umati wa wananchi katika Uwanja wa Uwanja wa Ndege (zamani sabasaba) mjini Morogoro leo, Aprili 21, 2013, ikiwa ni hitimisho la ziara yake ya siku nane aliyofanya katika wilaya zote, mkoani Morogoro. (Picha na Bashir Nkoromo)
Msanii
wa muziki wa kizazi kipya ajulikanae kw jina la Abdul Nasib a.k.a
Diamond akitumbuiza jukwaani jioni ya leo kwenye hitimisho la mkutano wa
chama cha CCM,uliofanyika kwenye uwanja wa Ndege (zamani sabasaba),Mkoani Morogoro.Uongozi wa Chama hicho ukiongozwa na Katibu
Mkuu wake,Ndugu Abdulrahman Kinana wamefanya ziara ya kutembelea wilaya
zote saba za mkoa huo kukagua uhai wa chama na maendeleo ya miradi
mbalimbali.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA KWA UHONDO ZAIDI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...