Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mke wake Mama Salma Kikwete wanajiunga na maaskofu wa makanisa mbalimbali katika kuombea amani Tanzania alipokwenda nyumbani kwa Askofu Mkuu wa Katoliki Jimbo la Arusha Archbishop Josephat Lebulu (mwenye kanzu nyeupe) kabla ya kwenda kuhani misiba ya watu watatu waliofariki katika mlipuko wa bomu jijini humo Jumapili iliyopita. Pia alitembelea majeruhi waliolazwa katika hospitali ya Mtakatifu Elizabeth na ya Mount Meru ambako aliwapa pole majeruhi 31 kati ya 64 waliolazwa hadi sasa.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...