Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani –
DCP. Mohammed R. Mpinga akiongea na
kuwaasa madereva wa Bodaboda wakati wa
kufunga mafunzo hayo. Kushoto kwa Kamanda ni Rais wa AAT Mr Nizan Jivan, CEO wa
AAT Mr Yusuf Aghor na Mweka hazina wa AAT Mr Pepe.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – DCP Mohammed Mpinga akikabidhi cheti kwa mhitimu Mwanamke aliyehitimu mafunzo ya Elimu ya Usalama Barabarani yaliyotolewa kwa madereva wa Bodaboda Dsm na Kikosi cha Usalama Barbarani kwa kushirikiana na AAT (Automobile Association of Tanzania) kwa ufadhili wa chama cha mashindano ya Magari Duniani (FIA) wakati ufugaji wa mafunzo hayo yaliyofanyika Gongolamboto 10/07/2013. Anayeangalia ni Rais wa AAT Mr Nizan Jivan
Mr Nizan Jivan Rais wa Automobile Association of Tanzania (AAT) akiongea na madereva wa Bodaboda wakati wa ufungaji wa mafunzo hayo yaliyofanyika Gongolamboto – Dar es salaam 10/07/2013. Kulia ni Mr Yusuf Aghor CEO wa AAT na kushoto ni ASP Swai wa Makao Makuu ya Traffic Dsm.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...