Treni ya abiria aina ya Alvia 730 iliyokuwa ikisafiri kutoka mji wa Madrid kwenda mji wa bandari ya Ferrol,iliyokuwa imebeba abiria wapatao 218,imepata ajali mbaya sana leo na kusababisha vifo vya watu 88 huku wengine 130 wakiwa wamejeruhiwa vibaya sana. Ajali hiyo imetokea jioni ya leo nje kidogo ya mji wa Santiago de Compostela.Chanzo cha ajali hiyo inasemekana ni moja ya behewa za Treni hiyo kushindwa kukata kona wakati ikiwa kwenye mwendo mkali.
Msaada ukiendelea kutolewa.
Waokoaji wakiendelea na kazi ya uokozi kwa abiria walionasa kwenye treni hiyo.
Ni huzuni imetawala eneo la tukuo huku miili ya waliopoteza maisha ikiwa imefunikwa.
Uokoaji ukiendelea.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. May the Merciful God have Mercy on the victims.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...