




BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Most read Swahili blog on earth
Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.
i like the way you guys work as team,this shows how president kikwete leadership is going to hit back election 2015,so chadema what we need now, is to look alternatives strategy of dealing with our policies to bring changes to our country.may god bless TANZANIA
ReplyDeleteMaweeeeee!
ReplyDeleteMaweeeeee!
ReplyDeleteNyegera waitu Nyerere wa Tanzania( wahaya kila rais huwa wnamuita Nyerere.) Rais akitaka kupata kura nyingi kutoka Kagera 2015, inatakiwa ajiite Nyerere.
ReplyDeleteInapendezaje. Lakini wahaya huwa wakarimu sana. Ile tabia yao ya kujututumua husaidia kuonekana wakarimu. Maana lazima mgeni uone kuwa umetendewa vema kumbe unaonyeshwa kuwa wanaweza.Mungu wabariki wahaya pamoja na kuwa walitolewa kwenye network ya uongozi wa siasa lakini hawakwepeki.
infwakti nakuunga mkono iwe mushaija/muhisiki. Unajua, Nyerere ndio aluharibia, katutoa kwenye network ya siasa na kufanya mkoa wetu kuwa absolutely poor. Anyway, tutarudi kwa kishindo, ili tuweze kuikomboa Tanzania kwenye umaskini. Haiwezekani mkoa wenye idadi kubwa ya watu wenye PhD uwe na watu maskini hivi.
ReplyDeletenilikuwa narepresenti.
Hahahahahahaha !
ReplyDeleteRugemalira Ruta Ruta hapo juu umesasambua ukweli hadi nimecheka saana.
Sasa kilichobaki ni kuweka dreams into reality mgeuze hizo PhD zenu kuakisi kinachostahili huko eneo lenu, ni kiasi cha kutoa Call for Papers ili kila msomi 'Nshomire' a Present paper lake na Matekelezo yafanyike.
Mhe. Raisi Jakaya Kikwete upo huko ukongoni kona za chaki Mpakani wa Tanzania na Rwanda.
ReplyDeleteUnaonaje uchomokee hapo Boda wende hadi Kigali kumsalimu nduguyo Paul Kagame?