Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Jaji Joseph Warioba akiongea na Wajumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Musoma Vijijini waliokutana kujadili Rasimu ya Katiba. Mkutano huo ulifanyika wilayani Musoma.
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Prof. James Mdee akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba katika mkutano uliofanyika mjini Moshi hivi karibuni.
Mjumbe wa Baraza la Katiba la Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro Bi. Elingao Mshanga akitoa maoni kuhusu Rasimu ya Katiba katika mkutano uliofanyika mjini Moshi juzi.
Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba Prof. Mwesiga Baregu akiongea na baadhi ya Wajumbe wa Baraza la Katiba la wilaya ya Kalambo mkoani Rukwa wakati wa mkutano wa kujadili Rasimu ya Katiba. Mkutano huo ulifanyika wilani Kalambo hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...