Familia ya Mzee Ndalu inasikitika kutangaza kifo cha kijana wao mpendwa Erick Meshack Ndalu kilichotokea nyumbani kwao Tabata tarehe 24/7/2013 saa 5 usiku, habari ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki wote wa marehemu popote pale walipo.

 Mazishi yanategemea kufanyika kesho siku ya Jumamosi tarehe 27/7/2013 katika makaburi ya kinondoni saa 10 jioni.

Bwana ametoa bwana ametwaa jina lake lihimidiwe

Amen 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. AnonymousJuly 26, 2013

    Poleni sana. Mungu amlaze mahala pema peponi.

    ReplyDelete
  2. DAH!SO SAD I WENT TO SCHOOL WITH ERICK,MAY OUR ALMIGHTY LORD REST HIS SOUL IN ETERNAL PEACE

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...