Mwili unatarajiwa kuwasili nchini kutokea India jumapili mchana tarehe 29 Desemba 2013 na Qatar Airways.
Jumatatu tarehe 30 Desemba 2013 saa 3 asubuhi kutakuwa na Ibada Maalum na ratiba ya kutoa heshima za mwisho katika Kanisa la Anglican la Mtakatifu Albano jijini Dar es Salaam.
Jumanne tarehe 31 Desemba 2013 Mwili wa Marehemu utasafirishwa kuelekea Ngara kwa ajili ya mazishi.
RIP the soul of our beloved Mama. We always thank God for everything. Amen.
ReplyDeleteHakuna kitu kinaumiza hapa duniani kama kumpoteza mama, ila hii yote ni mipango ya Mungu na wote tuko safari moja... Mungu awape nguvu na amani familia ya Mzee Rugumyamheto katika kipindi hiki kigumu na amlaze mama pema peponi, amen.
ReplyDeleteMdau Ngara..
kweli umesema ukweli kumpoteza mama sijui niseme nini, kwani mimi ni mwaka na miezi toka mama yetu atutoke lkn naona ni kama jana ila kikubwa nikumshukuru Mungu kwani yeye niwakushukuliwa kwa kila jambo.Poleni sana sana na tukubali ni njia yetu sote wametangulia ila na sisi tuliobaki nikujiweka tuwe wasafi itakapofika wakati wetu.
ReplyDelete