Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani).
Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora imefanya ziara ya kikazi katika Makao makuu ya TASAF jijini Dar es Salaam ili kupata taarifa za utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF awamu ya tatu kote nchini.
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Deogratius Ntukamazina akichukua dondoo muhimu za TASAF awamu ya tatu kama zilivyotolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani)
Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (aliyesimama pichani) akitoa kwa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora taarifa ya utekelezaji wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini na zilizo katika Mazingira hatarishi unaotekelezwa chini ya TASAF awamu ya tatu.
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani)
Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Katiba, Sheria na Utawala bora Mh. Abdallah Sallehe Ahmed akifuatilia kwa makini taarifa iliyokuwa ikitolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa TASAF BW. Ladislaus Mwamanga (hayupo pichani).
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...