Makamu mwenyekiti wa chuo cha usimamizi wa fedha (IFM),Bw. Kasmiri Nyoni akizungumza kuhusu utanuzi wa chuo cha usimamizi wa fedha ambacho kinakaribia kuanza kujengwa katika eneo la Msata wilaya ya Bagamoyo Mkoani Pwani,Chuo hicho kitakuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi wapatao elfu thelathini.kulia kwa makamu wachuo ni Mkuu wa chuo cha ifm Profesa Godwin Mjema nakushoto ni Mkurugenzi mtendaji wa Kituo kinacho toa elimu kwa njia ya mtandao nchini Tanzania Charles Senkondo.
uongozi wa chuo cha ifm kilipo tembelea eneo kitakapo jengwa chuo hicho msata wilaya Bagamoyo Mkoa wa Pwani.Picha na Chris Mfinanga

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Hii ndio dawa ya Wanafunzi Masharo Baro na Mashostisho!

    Hapo hakuna mambo ya Klub usiku, hakuna mambo ya Steers, hakuna mambo ya Bilicannas, ukitoroka Bwenini unakumbana na Tumbiri na Kima usiku, msitu mneneee ukikurupushwa unapanda juu ya mti wa Mfenesi unalala juu hadi asubuhi!!!

    ReplyDelete
  2. Si mchezo ndani ya Msata-Bagamoyo hawa vijana wa IFM sasa watatulia na Kusoma kikweli kweli!

    ReplyDelete
    Replies
    1. watanzania tuwe positive badala ya kupongeza hatua ya upanuzi wa chuo ambayo itapelekea idadi ya wanafunzi watakaofaidika na elimu hiyo kuongezeka. Tuache kuwashambulia na kuwakejeli.

      Delete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...