Kambi ya wakimbizi Kenya |
Waswahili husema dalili za mvua ni mawingu, na panapofuka moshi kuna moto. Hii ni misemo inayoweza kuitumika kuelezea matumaini ya kutekelezeka kwa mkataba wa kuwarejesha makwao kwa hiari wafungwa wa Somalia waliko nchini Kenya zoezi ambalo awali lilikwama.
Katika mahojiano maalum na Joseph Msami wa idhaa hii msemaji wa shirika la Umoja wa Mataifa la wakimbizi UNHCR nchini Kenya Abel Mbilinyi ambaye pia anaeleza namna Kenya inavyowahifadhi wakimbizi wa Sudani Kusini, amesema ziara ya waziri mkuu mpya wa Somalia nchini humo imefufua matumaini kw awakimbizi wan chi hiyo matumaini ambayo yalififia kutokana na uwepo wa serkali mpya nchini humo.
(SAUTI MAHOJIANO)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...