Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani  la Tanzania,  Dk. Charles Msonde, akitangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne (CSEE) na Maarifa (QT), Dar es Salaam leo. Kushoto ni Kaimu Naibu Katibu Mtendaji wa  baraza hilo, Edward Haule. (PICHA NA KHAMIS MUSSA)
Kupata matokeo ingia kwenye tovuti ya NECTA ya: 
Kisha bofya sehemu ilioandikwa MATOKEO YA CSEE 2013 & MATOKEO YA QT 2013 Upande wa juu  kulia pembeni mwa tovuti



Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Kazi ya kuimarisha elimu katika ngazi ya shule wilaya mikoa na sera na miongozo ya wizara iendelee. Hata mikoani tunasikia wamekuwa wakali huendi la saba kama hujashinda mitihani ya majaribio, tuendelee hivyo hivyo kuimarisha elimu inayokidhi haja katika ngazi zote.

    ReplyDelete
  2. Congratulations Eagles boys iliyoko Bagamoyo. No division 0 wala 4! Only 2division 3 wengine wrote ni division 1 and 2 out of 55 candidates! Pongezi kwa waalimu na entire staffs! God bless you

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...