Mama wa Mitindo Asia Idarius- Khamsin (pichani) akiongea na Vijimambo Blog mapema leo akizungumuzia onesho la miaka 10 la Lady in Red litakalofanyika hoteli ya Serena jijini DAr es salaam kesho Ijumaa Feb 14, 2014 maalum kwenye siku ya wapendanao maandalizi yanaelekea ukingoni hebu msikilize hapo chini

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...