BABA PAROKO CHRISTIAN LIKOKO AKITOA MAWAIDHA WAKATI WA MAZISHI YA MWALIMU FELIX SHAABAN HONERO KATIKA KIJIJI CHA MBOGA, CHALINZE, MKOA WA PWANI JANUARI 30, 2014

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 6 mpaka sasa

  1. Baba Paroko unatisha! Hongera sana. Nilishasikiaga kuwa viongozi wa dini husoma mafundisho ya dini zote, nikawa sielewi. Sasa nshakufahamu Baba Paroko. Niko hapa Kikwajuni Unguja nimeilimika na kukubali sana baba Paroko....

    ReplyDelete
  2. Rev Fr Likoko, nimekukubali unatisha kaka. Nakumbuka nilicheza naye UMISETA enzi za ujana wetu, hongera sana Kaka.

    ReplyDelete
  3. Ni kwelii mapadre wote wa kikatoliki wana somo la dini zingine ila kuepusha malumbano, wengi wao hawatilii mkazo kisomo hicho.

    ReplyDelete
  4. Baba Paroko kwa kuangalia clip hii kidogo nimegundua kuwa umesoma kiasi fulani uhusu Uislam. Na kama unaelewa maana ya aya za kuraan basi nilikuwa naomba pia upitie Sura Al-maeda (sura 5) Aya number 72-79 tafadhali ili uwaelezee waumini wako pia.

    ReplyDelete
  5. Hii ndiyo raha ya kuwa na ilimu. Unawaelewa watu wa dini isiyokuwa yako vizuri na unawahudumia kwa upendo na heshima kubwa kulingana na imani yao. Mapadri wakatoliki wanafundishwa hilo.

    ReplyDelete
  6. Mimi mwenye hadi nimeshaangaa, anasema ana masters ya arabic n islamic religion kama cjakosea, yuko vizuri, ndugu zetu pia wa imani ya kiislam pia wanapaswa wajifunze pia imani za wengine zikoje japo wapate uelewa tu.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...