Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 7 mpaka sasa

  1. Multipurpose, I like it.

    ReplyDelete
  2. Hiyo bila shaka itakuwa ni kampuni kumbwa sana na imesheheni wataalamu wengi. Kwa vile mshenga hawezi kupiga tofali wala kuponda kokoto.

    ReplyDelete
  3. Hajaacha contacts tutampataje?nadhani hata TRA wamemsamehe kodi.mjini kweli shule

    ReplyDelete
  4. Anko umeharibu, kwanini umeziba namba ya simu wakati wadau tunahitajimambo hayo,hususan hiyo kitu ya kuoa na kuolewa. Tupia namba hizo tumuibukie dalali wa kimataifa huyo

    ReplyDelete
  5. Udalali mpaka kuoa na kuolewa ! Kweli kila kitu biashara. Tabu kubwa kangu mimi ni lugha iliyotumika. Jamii yetu ina watu wengi wazima na ndevu zao kabisa lakini wanajieleza kwa kuongea na kuandika kama watoto wadogo ! Wengine wameajiriwa mpaka kwenye vyombo vya habari lugha wanayoitumia ya hovyo. Unaweza kukuta mtu anaandika sentensi isiyo na kichwa wala mguu na inakubalika na waharir! utakuta mtu anaandika kwa mfano " wazazi wake walimwadithia ". Mimi nakereak sana na sentensi za kitoto aina hii.

    sesophy

    ReplyDelete
  6. Udalali wa nchi hii kwa bahati mbaya unafanywa na matapeli. Wajanja janja wengi wa mjini ambao shughuli yao haijulikani wanafanya udalali. Tangazo hili ni mfano mzuri ambapo jamaa anafanya kila aina ya shughuli!

    ReplyDelete
  7. Naona udalali siku hizi nao ume advance, mpaka wa ushenga n.k. Hata hivyo tangazo limeeleweka na ujumbe umefahamika.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...