Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akizungumza na Ujumbe wa Kampuni ya Mahindra&Mahindra Ltd,kutoka India ulipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi.ujumbe huo unaoongozwa Bw.Sanjay Jadhar, ulifanya mazungumzo na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi DK.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Bw.Sanjay Jadhar, Kiongozi wa Ujumbe wa Kampuni ya Mahindra&Mahindra Ltd,kutoka India walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi na kufanya mazungumzo na Rais.Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...