Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo  (kushoto) akionyesha zawadi ya simu aina ya Samsung Tab ambayo washindi 2 wa droo ya winda safari ya Brazili  na Serengeti  wamejishindia katika droo iliyochezeshwa leo asubuhi. Anayeshuhudia ni afisa mwandamizi wa PWC Bw Tumaini aliyeko kulia. 
 Meneja wa bia ya Serengeti Bw Rodney Rugambo (katikati) akitangaza mshindi wa promosheni ya winda safari ya  Brazilin a Serengeti aliyejishindia simu aina ya Samsung Tab. Wanaoshuhudia ni msimamizi wa michezo ya bahati nasibu Bw Abdala aliyeko kushoto na afisa mwandamizi wa PWC Bw Tumaini aliyepo kulia.
 Meneja wa bia ya Serengeti Rodney Rugambo (katikati) akiongea na mshindi wa droo ya winda safari ya Brazil na Serengeti aliyejishindia simu aina ya Samsung Tab. Wanaoshuhudia ni msimamizi wa michezo ya bahati nasibu Bw Abdala aliyeko kushoto na afisa mwandamizi wa PWC Bw Tumaini aliyepo kulia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...