Msanii S2R akiwa na mdundo toka Benamo Recs anadrop wimbo "Baby Gal" ikiwa ni ngoma aina ya dancehall, vocal zimesimamiwa Noizmekah studios Arusha, bofya HAPA kuisikiliza/download na kwa mawasiliano/mahojiano zaidi check na S2R kwa nambari +255 785 317 976 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...