KATIKA KUHAKIKISHA KWAMBA WATU WANALIPUKA KISAWASA KWA KUPIGA PAMBA KALI (MAVAZI) KILA SIKU ,DUKA LAKO PENDWA LENYE VIWALO VIKALI NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LIMESHUSHA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA.
HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI,POCHI BABKUBWA,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.
KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LEO
VIATU VYA KINA DADA
MOKA BOMBA KABISA KWA KINA BABA.
KIWALO
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...