KATIKA KUHAKIKISHA KWAMBA WATU WANALIPUKA KISAWASA KWA KUPIGA PAMBA KALI (MAVAZI) KILA SIKU ,DUKA LAKO PENDWA LENYE VIWALO VIKALI NDANI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LIFAHAMIKALO KAMA J&M VIRGO,LIMESHUSHA MALI MPYA NA ZA UHAKIKA.

HIVYO FIKA DUKANI KWAO PALE MIKOCHENI KWA WARIOBA,JENGO LA C&G PLAZA GHOROFA YA KWANZA ILI UWEZE KUJIPATIA PAMBA KALI,POCHI BABKUBWA,MOKA ZA KISASA NA MICHUCHUMIO MIKALI KWA KINA DADA.

KWA TAARIFA ZAIDI TEMBELEA LIBENEKE LEO

VIATU VYA KINA DADA
MOKA BOMBA KABISA KWA KINA BABA.
KIWALO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...