Kituo kikuu cha mabasi yaendayo sehemu mbalimbali ndani ya mkoa wa Kilimanjaro na Arusha ikiwa haina gari baada ya wamiliki wa magari yaendyo maeneo hayo kugoma kutoa huduma. |
Kutokana na mgomo huo ndipo madereva wa magari hayo na makondakta wakaamua kugeuza stendi hiyo uwanja wa mpira wa miguu likapigwa mbungi kati ya madereva na makondakta. |
Nilishasema muda, ni makosa kwa serikali kuachia watu binafsi masuala nyeti. Usafiri ni moja ya suala nyeti kwani jamaa wakigoma na magari yao serikali haiwezi kuwalazimisha. Kwani mtu kitu chake anafanya apendavyo. Ukiangalia hata mataifa makubwa, Marekani, Uingereza, makampuni makubwa ya kusafirisha watu kazini kila siku(mabasi na treni) ni ya umma ingawa wanaweza kuwa wanashindana na makampuni makubwa binafsi. Na hawa ndiyo mabepari wakubwa. Matajiri wenye magari wakigoma kazi zote zingine zinazorota. kwa hiyo ubepari unaweza kuwa ujamaa kwa mfano niliousema hapo juu.
ReplyDeleteMmbongo Chiberia.
Naona taratibu tunageuka kuwa jamii ya migomo,Kila mtu anataka afanye anavyotaka.Meno ya serikali yako wako?
ReplyDeleteHaya mambo yote ni kero kwa wananchi.
ReplyDelete