Samson Chekingo wa CHICAGO – IL na Brenda Chekingo-Masha wa Kijenge – Arusha wanapenda kuwataarifu Misa ya kumuombea Mpendwa Marehemu Baba yao Major Samuel Isaac Chekingo (pichani),  zitafanyika sehemu mbili tofauti Tanzania na USA) leo na kesho.
1-       (Kwa wa USA)-Jumamosi March 8, th 2014 Kuanzia Saa 9 Jioni (3PM) hadi 1 Usiku (7 PM) katika kanisa la Augustana Lutheran of Hyde Park
Anuwani ya Kanisani:

AUGUSTANA LUTHERAN CHURCH OF HYDE PARK
AND LUTHERAN CAMPUS MINISTRY
5500 SOUTH WOODLAWN AVE
CHICAGO - IL 60637
 2-       (Kwa TANZANIA)- Misa Itafanyika siku ya Jumapili  March 9th, 2014  saa Tatu na nusu Asubuhi Kijenge – ARUSHA, Katika kanisa la Kilutheri la KIJENGE,

Kwa wale tuliopo Marekani - Tafadhali tunaomba kuzingatia muda wa Ibada. 

 Major Samuel Isaac Chekingo alifariki Tarehe January 28, 2014 Katika Hospitali ya Lugalo huko Dar es Salaam, Tanzania.
 Kwa taarifa zaidi unaweza kuwasiliana na:

Samson Chekingo (USA)Phone #: 847-987-9637 Email address: samchecks@hotmail.com
Brenda Chekingo – Masha (ARUSHA -TANZANIA)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Brenda na Samson nawapa pole sana. Vilie vile nampa pole Margreth Chekingo kwa kupotolewa na mume wake. Mungu awatie nguvu wakati huu mgumu. Poleni sana

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...