Meneja Masoko  na Elimu kwa Umma  toka  Mfuko  wa Taifa wa Bima ya Afya ( NHIF) Bi Anjela Mziray akiwaeleza waandishi wa habari leo Jijini Dar es salaam kuhusu programu ya upimaji wa Afya kwa wananchi kwa magonjwa yasiyoambukiza inayoendeshwa na mfuko huo hapa nchini.kulia ni Meneja Uhakiki na Madai wa mfuko huo Dk.Clement Masanja na kushoto ni Afisa habari ,Idara ya Habari Maelezo  Bi Fatma Salum.
 Meneja Uhakiki na Madai wa mfuko huo Dk.Clement Masanja  akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu umuhimu wa kufanya mazoezi ili kujikinga na magojwa yasiyoambukiza kama kisukari, msongo wa mawazo  na shinikizo la damu,kushoto ni Meneja Masoko na Elimu kwa Umma Bi Anjela Mziray
 Baadhi ya waandishi wa habari wakifuatilia mkutano wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) uliofanyika leo jijini Dar es salaam uliolenga kuelimisha wananchi kuhusu mapambano dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama Kisukari,shinikizo la damu na Saratani.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...