Ankal na Ze Fulanazzzz yake akiwa na wadau wakuu wa KIJIWE CHA UGHAIBUNI alipotembelea Maryland, Marekani hivi karibuni, na kutia ubani katika kipindi hicho ambacho kimejizolea umaarufu mkubwa duniani kote. Kulia kwake ni Producer DJ Luke Joe, akifuatiwa na nyota wa mchezo Ben Mwaipaja na Mwanangu Yasin 'Mtoto wa Salamander' bila kumsahau mwenyekiti wa kijiwe. Nyuma ya kochi ni wadau ambao bila wao kipindi hicho kisingekuwa hai. Hii ni baada ya kurekodi kipindi ambacho kitaruka hivi karibuni. Kaa mkao wa kula....
Home
Unlabelled
ankal ndani ya kijiwe cha ughaibuni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
This comment has been removed by the author.
ReplyDeleteInaonekana Ankali anayo Dazani nima ya Folanazzz.
ReplyDeleteSi Mchezo 'Dakitari' ama Mwalimu wa Kisomo alikupa mashariti makali sana na magumu hadi rangi ya Fulanazzz usibadili, ukibadili tu utagekua kuwa ndege!
Ni bora tukubali Suala la Uraia Pacha lakini kwa Mashariti badala ya kukataa kabisa ili tuwape nafasi ndugu zetu hawa waweze kushiriki nasi ktk Tanzania!
ReplyDeleteTuzifahamu FAIDA na HASARA za Uraia Pacha halafu tuweke Kanuni na Tahadhari kuepuka hasara na kubeba faida zake kwa maendeleo yetu.
Jamani iyo fulanaaaz au aundio special kwa kuendea ughaibuni maanamimi simu elewi aundio ushirikina mpaka noma ni ushamba na ujuha
ReplyDelete