Mhe. Mohamed C. Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa na mwenyeji wake Mhe. Georgina T. Wood, Jaji Mkuu wa Ghana ofini kwake. Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania yuko nhcini Ghana kwa ziara maalum ya kubadilishana ujuzi na Majaji wa Supreme Court ya Ghana.
Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa kwenye ziara ya kubadilishana ujuzi wa utekelezaji wa shughuli za kisheria na Utawala baina ya Mahakama ya Tanzania na Mahakama ya Ghana akiongozana na Mhe. Jaji Kiongozi na Makamishna wa Tume ya Mahakama ya Tanzania.
Mada kadhaa zitatolewa na zitajadiliwa na kupata uzoefu wa utekelezaji wa majukumu ya kisheria na utawala wa mihimili ya Mahakama kwenye nchi za utawala wa sheria. Miongini mwa mada zitakazo jadiliwa ni pamoja na:-
• Taratibu za Supreme Court ya Ghana za uondoshaji wa Mashauri
• Uhuru wa Mahakama na mgawanyo wa madaraka
• Majukumu na uwezo wa” Judicial Council” ya Ghana
• Mfumo wa upimaji wa utendaji kazi kwa Waheshimiwa Majaji na Mahakimu nchini Ghana
• Mfumo wa uratibu wa Mashauri mbalimbali Mahakamani
• Utaratibu wa kumaliza Mashauri nje ya Mahakama
• Utawala wa Sheria na Haki za Binadamu
• Elimu ya sheria kwa umma
Pamoja na mada hizo, ujumbe wa Mhe, Jaji Mkuu utatembea, utaona na kulinganisha utendaji wa taasisi nyingine za kutoa haki kama vile
• Mahakama ya Biashara
• Mahakama ya Ardhi
• Mahakama ya Haki za Binadamu
• Tume ya Maboresho ya shughuli za Mahakama nchini Ghana
• Financial Court
Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania akiwa kwenye ziara ya kubadilishana ujuzi wa utekelezaji wa shughuli za kisheria na Utawala baina ya Mahakama ya Tanzania na Mahakama ya Ghana akiongozana na Mhe. Jaji Kiongozi na Makamishna wa Tume ya Mahakama ya Tanzania.
Mada kadhaa zitatolewa na zitajadiliwa na kupata uzoefu wa utekelezaji wa majukumu ya kisheria na utawala wa mihimili ya Mahakama kwenye nchi za utawala wa sheria. Miongini mwa mada zitakazo jadiliwa ni pamoja na:-
• Taratibu za Supreme Court ya Ghana za uondoshaji wa Mashauri
• Uhuru wa Mahakama na mgawanyo wa madaraka
• Majukumu na uwezo wa” Judicial Council” ya Ghana
• Mfumo wa upimaji wa utendaji kazi kwa Waheshimiwa Majaji na Mahakimu nchini Ghana
• Mfumo wa uratibu wa Mashauri mbalimbali Mahakamani
• Utaratibu wa kumaliza Mashauri nje ya Mahakama
• Utawala wa Sheria na Haki za Binadamu
• Elimu ya sheria kwa umma
Pamoja na mada hizo, ujumbe wa Mhe, Jaji Mkuu utatembea, utaona na kulinganisha utendaji wa taasisi nyingine za kutoa haki kama vile
• Mahakama ya Biashara
• Mahakama ya Ardhi
• Mahakama ya Haki za Binadamu
• Tume ya Maboresho ya shughuli za Mahakama nchini Ghana
• Financial Court
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...