
Mratibu wa Tamasha hilo Bw. Andrew Kagya amesema kuwa Mwimbaji mgeni (Guest singer) atakuwa Flora Mbasha na kundi lake zima kutoka jijini Dar es Salaam na pia Kutakuwepo kwaya mbalimbali za RC, KKKT na SDA za hapa Bukoba.
Kiingilio kitakuwa kama ifuatavyo:Mtu mmoja 10,000/-
Watu watatu 25,000/-, Watoto 5,000/-

Afican beauty jive or.......
ReplyDeleteTuige mfano wa mavazi ya mama wa bwana wetu yesu.
ReplyDeleteni muislam lakini naunga mkono mdau namba 2
ReplyDelete