Mganga Mkuu wa Kituo cha Afya cha Inyonga, Dk. Adis Koni akimpatia maelezo Kinana na viongozi wengine wa chama na serikali kuhusu kucheleweshwa kwa makusudi kituo hicho kukipa hadhi ya kuwa hospitali ya wilaya,ambapo imeelezwa kuwa ucheleweshwaji huo unafanywa na Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii,kwani maombi walikwishayatuma Wizarani tangu februari mwaka jana.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Kinana akiwahutubia wakazi wa kijiji cha Inyonga,wilayani Mlele mkoani Katavi jana jioni.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
Maskini huyo mtumishi wa afya kapiga yebo yebo ofisi! Mmmh siku hizi ukiwaona baadhi ya watumishi wa umma mpaka huruma.
ReplyDelete