Bondia Francis Cheka (kushoto) akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba Jumamosi jijini Dar es salaam. Mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya kufungana point
Bondia Francis Cheka kushoto akipambana na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamuliwa kwa droo ya kufungana point
Bondia Francis Cheka kushoto akioneshana umwamba wa kutupiana makonde na Gavad Zohrehvand wa Iran wakati wa mpambano wao wa kirafiki wa kimataifa uliofanyika katika ukumbi wa PTA Sabasaba jijini Dar es salaam mpambano huo uliamliwa kwa droo ya kufungana point
Bondia Sukkasem Kietyongyuth kutoka Thailand kulia akiwa amemkalisha bondia Francis Miyeyusho katika raundi ya kwanza ya mpambano wa raundi kumi na kushinda kwa K.O.
Dah...mie hua nachoka sana ninaposoma taarifa za mabondia wetu....hasa hawa ambao wenye majina.
ReplyDelete