Sehemu ya Waombolezaji wa Msiba wa nguli wa Muziki wa Dansi hapa nchini na aliekuwa kiongozi wa Bendi ya Msondo Ngoma,Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo wakiwa nyumbani kwake Mabibo (Tabata Makuburi),leo.Shughuli zote za Mazishi zinaendelea nyumbani hapo.Tarati bu za Mazishi zimefanyika,yatafanyika kesho Aprili 15,2014 kwenye Makaburi yaliopo kwenye kijiji cha Masaki,Kisarawe mkoani Pwania.
 Mmoja wa wanamuziki wa zamani na aliewahi kufanya kazi Pamoja na Marehemu Mzee Muhidin Maalim Gurumo,Mzee Shaaban Dede (wa pili kushoto) akiwa ni miongoni mwa waombolezaji waliofika kwenye msiba huo.
Sehemu ya Waombolezaji wakiwa msibani hapo.
Kaimu Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa Taifa (BASATA),Godfrey Mngereza (katikati) akijadiliana jambo na Rais Shirikisho la Muzini Tanzania,Ado November (kushoto) pamoja na Mwanamuziki na mpiga Keyboard mahiri nchini,Abdul Salvador a.k.a Father Kidevu juu ya taratibu mbali mbali za Msiba wa Mzee Muhidin Maalim Gurumo,nyumbani kwake Mabibo jijini Dar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...