Washtakiwa namba 4 hadi 12, wakisaidiwa kupanda kwenye gari la Polisi baada ya mahakama kuu kanda ya Moshi, mkoani Kilimanjaro, kuwaachia huru leo mchana katika kesi ya mauaji ya askari polisi yaliyotokea Julai 11 mwaka 2007. BOFYA HAPA KWA HABARI KAMILI |
Home
Unlabelled
MAHAKAMA KUU KANDA YA MOSHI YAWAACHIA HURU WASHTAKIWA 9 NA KUWATIA HATIANI 3 KATIKA KESI YA MAUAJI YA NMB MWANGA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hii ndio Afrika y mashariki yenyewe?
ReplyDeleteAngalieni Wakenya hao watatu (3) waliotiwa hatiani na Mahakama Kuu wametokea kwao Kenya wamekuja kufanya mauaji ya Polisi Tanzania!
Kenya kuna njaa kali sana, wakija Bongo wanakuta maisha bora watu mafedha yamezagaa kibao, wanapata uchu wa Wizi, Ujambazi na mauaji!
Mama materu hongera sana Mungu ni mwema na pole kwa miaka yote ukiyokaa gerezani
ReplyDelete