Kwa mara nyingine napenda kuwashirikisha mtandao wa kitanzania ulio na nia ya kuwakomboa wafanyabiashara wadogo,wa kati na wakubwa katika kuwafikia wateja wao kwa ukaribu zaidi. Pia  kupitia mtandao huu utaweza kutangaza chochote unachopenda umma ujue kwani tumethibitika kuwafikia watanzania wengi kwa siku pia hata watembeleaji wengi zaidi toka nchi za nje.

Timu ya  KAJO ITECH Kwa umakini mkubwa itaendesha mtandao huu wa CHOCHOTE pia kufanikisha kuwa ndio suluhisho kwa watanzania wengi kupata chochote wanachotaka kwa wakati iwe ni AJIRA,NYUMBA,VIFAA VYA UMEME,SCHOLARSHIP,VIFAA VYA UREMBO ,VIWANJA,FURNITURE,SIMU ,MAGARI NA VINGINE VINGI

 . ILI KUFAIDI HAYA YOTE uanchotakiwa kufanya ni kutembelea website hii link;www.chochote.co.tz  na utaweza kufungua akaunti  yako  na kuanza kuweka matangazo yako BUREE KABISA kwa chochote unachotakiwa kuuza au kununua. 
 Pia like facebook yetu ambayo ni https://www.facebook.com/chochotetz
KWA MAELEZO ZAIDI piga simu no;0712579102 au tuma email;info.chochote.co.tz

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...