Mkurugenzi wa masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena,Bw. Seraphin Lusala akimkabidhi vyandarua kwa Mkuu wa Tiba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Meja Jenerali AS Mwabulanga wakati wa hafla fupi ya kukabidhi misaada ya vyandarua na maji,vitakavyokabidhiwa kwa waathirika wa vita huko Darfur ambapo misaada hiyo itatolewa na Jeshi letu la kulinda amani huko Darfur,ikiwa ni katika kusherehekea sikukuu ya Muungano wa Tanzania.Kushoto anayeshuhudia ni Mkurugenzi wa Operesheni za Ulinzi wa Amani, Brigedia Jenerali, HS Kamunde.
Mkurugenzi wa masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena,Bw. Seraphin Lusala akimkabidhi katoni za maji Mkuu wa Tiba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Meja Jenerali AS Mwabulanga.
Picha ya pamoja baada ya hafla hiyo,mstari wa mbele kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Operesheni za Ulinzi wa Amani, Brigedia Jenerali, HS Kamunde,Meneja wa masoko kutoka Hoteli ya Dar es Salaam Serena, Bi Jackie Namatovu, Mkuu wa Tiba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ),Meja Jenerali AS Mwabulanga, Mkurugenzi wa masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena,Bw. Seraphin Lusala, Afisa Mnadhimu wa Logistiki za Ulinzi wa Amani,Lt. Kanali DC Kakoko na wa mwisho ni Shaban Kaluse Meneja masoko wa Hoteli ya Dar es Salaam Serena.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...