Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalumu Mhe.Samia Suluhu akiwa anafuatilia mchango wa Mhe.William Lukuvi kwa makini.
Hali ya hewa yarejea kuwa ya kawaida bunge maalum la katiba mjini Dodoma leo
Hali ya Ukumbi Ulivyo kuwa Leo ambapo Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini na ustaarabu wa hali ya juu.
Wabunge wakifuatilia jambo kwa makini.
Labda ndugu Mwandishi ungefafanua jinsi utulivu ulivyopatikana??????
ReplyDeleteNi kuwa baada ya Serikali kuukata mzizi wa fitina kwa kuonyesha Hati Halisi ya Muungano ikawa matokeo yake ndio hayo ya utulivu!!!
ReplyDelete