Mkuu wa Wilaya ya Monduli Jowika Kasunga akikagua timu ya Rift Valley B, iliyocheza na Rift Valley A na kufungwa kwa jumla ya goli 2-0
Kikundi cha sarakasi cha mto wa mbu kikiburudisha wakati wa uzinduzi wa Tamasha la michezo la Utalii Cup katika uwanja wa barafu katika eneo la mji mdogo wa Mto wa mbu, wilayani Monduli,Arusha.
Mkuu wa wilaya ya Monduli aliyekuwa mgeni rasmi wa uzinduzi wa tamasha la utalii CUP akipanda mti wa kumbukumbu katika shule ya sekondari ya Mto wa mbu. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...